Wanaume Single mnasubiria nini?

Wanaume Single mnasubiria nini?

Mkuu kuoa ni jambo ambali linaweza kuwa dogo au kubwa kulingana na muoaji na muolewa...
Mwanaume anaweza akawa ana nia ya kuoa lakini hana pesa za kugharamia shughuli nzima ya ndoa...unakuta upande wa bibi harusi wanataka mahali kubwa kiasi kwamba wanafanya biashara au wengine wanapenda harusi ya gharama wakati upande mmoja uwezo ni mdogo...
Maswala ya ndoa ni baraka na neema kwa muumba wetu so kama umepangiwa utaolewa au kuoa mapema basi yote ni heri kutoka kwa mwenyezi Mungu so binadamu kama wewe huna mamlaka ya kuanza kumbeza au kumpangia mtu ataoa au kuolewa lini so tuchunge ndimi zetu kwani yajayo hatuyajui yatakuwaje...

Nawatakia maandalizi mema ya Pasaka kwa wale wakristo wanaosherekea siku hiyo takatifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huna hela oa mwanamke mwelewa
 
unashida na unaongeza matatizo



"Not everything is for everybody"
 
Back
Top Bottom