- Thread starter
- #121
H😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 acha hizo bhanaKasema anataka niwachukue wewe na yeye
H😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 acha hizo bhanaKasema anataka niwachukue wewe na yeye
Eti eeh
Eti eeh
Kama huna hela oa mwanamke mwelewa
Aisee mimi nia ninayo ila sasa niaokutana nao duu sijui nafeli wapiNdio kwa maana hamuonyeshi nia mko tu na mnataka mpewe bure na hamueleweki ukitaka kueleweka basi kuweni na misimamo na tatizo lenu mnataka malaya wanawake wenye heshima na upendo hamuwataki
Acha kutafuta malaika hawapo duniani mke ili mradi awe anaheshima,kukupenda , na sura isiunguze picha.Basi hapo utaoaAisee mimi nia ninayo ila sasa niaokutana nao duu sijui nafeli wapi
born to shine
hii style yako ya kutafuta wa kukuoa nimeipendaJamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?
Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.
Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?
Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
😁🤗
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?
Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.
Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?
Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
![]()
Unamkatisha tamaa bhanaMkuu, kupika kuosha vyombo na vingine sio kazi ya wasichana ni kazi ya jinsia yeyote tu
Kuoa ni kuongeza gharama ambazo mhusika hujitakia, Pamoja na stress na kupata magonjwa ya ajabu.
Ndio maana wengi huamua kutafuta watoto tu ndoa hapana.
Kumbuka maisha yamebadirika sio Kama zamani mwanamke lazima uolewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha ile message inayosambaa kwenye mitandano ya " au sio mkuu"



nimeionaKwanini?hii style yako ya kutafuta wa kukuoa nimeipenda
.Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?
Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.
Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?
Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
![]()