Wanaume Single mnasubiria nini?

Wanaume Single mnasubiria nini?

muda ukifika ntaoa tu mkuu na mungu akimleta wa kwngu mm ninayefanana naye kwa mapungufu yetu ila kwa sasa shughuli zote ntajifanyia tu
 
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?

Mkuu,

Wengi wenu mmeshatumika sana, mmetembea

KM nyingi.

Unaweza vumilia hilo la KM lakini unakutana na

changamoto nyingine ya uVuvuzela na invoice

zisizo na kichwa wala miguu.



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
😁🤗
Tunakula kimasihara tu
 
Back
Top Bottom