Wanaume Single mnasubiria nini?

Wanaume Single mnasubiria nini?

Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
Dah hili tangazo limesukwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
😁🤗
Muda wangu wa kuwa single umeisha, Bibie fungua mlango wa PM. Nakuja tuyajenge.
 
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
😁🤗
Hii sio sababu ya kuoa maanake kuna migahawa,washing machine,dishwasher,house girls au boys etc.
 
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
Hakuna mwanaume single, bali kuna mwanamke single .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifikia hatua ya kutaka kutulizwa karibu sana
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom