Wanaume Single mnasubiria nini?

Wanaume Single mnasubiria nini?

Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
Kwahiyo upo single watu walete maombi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nioe nipate nn, kama K napata mambo ya kupika akina mama lishe ndo wamejaa cho, Kufua ndo hobby yangu maana sipendi kufuliwa na MTU yeyote.
Kwanza sikawi kumchoka demu
 
NAKUPENDA Sana future wife popote ulipo
Sasahivi nakutaftia chakura ....na maisha mazuri wewe na wanangu

K,K
 
Ni vizuri umejua kwamba wanaweza kufanya kazi zote swali hapo ndio utatambua ndoa ni zaidi ya kupika na kufua jiongeze
 
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
🤗
Punguzeni masharti kama waganga wa kienyeji ili tuweze kuwaoa
 
Hakuna maisha matamu kama USINGLE..
1. Matumizi ya pesa yako unayapanga mwenyewe.
2. Huhitaji ruhusa ya mtu yeyotee kwenda sehemu yoyote.
3. N.K

#YOUR FREE FROM EVERY KIFUNGO..!!

#YNWA

Wrote from Anfield..!!
Single ni mtu ambaye asiye responsible wala accountable na maisha yake

Ni mtu aliyekata tamaa ya maisha
 
Utarudi saa ngapi?
Mbona Umechelewa kurudi
Upo wapi
Kwani lazima upite maskani!?

Huo muda wa kujibu hayo maswali ninao sasa!?
Ukifanikiwa kuishi hadi uzee utatamani awepo mtu wa kukuuliza hayo maswali
 
Kwa mtazamo wangu ndoa ni muhimu ila siyo lazima, ni hiyari tu.
 
Back
Top Bottom