Tena nasisitiza kabisa leo ageukie ukutani na wewe umezidi kusifia sifia kila ukiwa nae kwenye gari ananilalamikia wewe shingo yako inazunguka kama feni kuangalia mipasuo na nanihiii zile za nyumaHata mimi nashangaa Malkia wangu ameanza lini wivu kiasi hicho, kumsifia miss wa kinyaru tu ametishia kuninyima leo.
Heaven on earth mwambie huyu grafani11 atulize mtima wake tumalize kwanza mazungumzo yetu utamrudia bila wasi wasi tena ukiwa mzima
Unafikiri baada ya kupamba kinachofuata sio kusheherekea hapo.
nitasherehekea kumpata mdogo wake na Heaven on earth au hajakuambia huo mpango
Last edited by a moderator: