huu ndio maana nakupendaga Mr Rocky huna mambo ya kusukumiziana Bill,
ikifika mda wa kulipa inakua mtafutano.....
Unakumbuka siku ile grafani11 alivyoleta ugomvi kisa bill yake iliongezwa elfu mbili na yule bar maid uliona alivyowaka karibu avunje na glass
Mpaka tuliona soo kusema alikuwa kwenye kampani yetu maana ugomvi usio na maana kwa ajili ya elfu mbili tuu
halafu kabill kenyewe basi tulikula kamchemsho tuu na wine kidogo ila duh balaa
Last edited by a moderator: