WANAUME: Nimewainulia mikono!!

WANAUME: Nimewainulia mikono!!

Sasa nimuimbishe mrembo wakati watoto wadogo kama wewe grafani11 hamjalala huoni majanga aise au unataka Paw anipige ban kwa kuweka maneno makali makali humu na kuwafundisha watoto wadogo kama grafani11 matusi
Kwa maneno yako watakutambua na kwa matendo yako utajionesha wewe ni wa umri gani. Yaani huwezi kuimbisha mrembo mpaka uzime taa asikuone usoni, mpaka watu wote waondoke unaogopa kuchekwa ukipigwa za uso. Hahaahahahaaaaaaaaaaaaa...sasa kama humu kunakushinda utaweza kutupa ndoano kwenye daladala kweli?
 
Kwa maneno yako watakutambua na kwa matendo yako utajionesha wewe ni wa umri gani. Yaani huwezi kuimbisha mrembo mpaka uzime taa asikuone usoni, mpaka watu wote waondoke unaogopa kuchekwa ukipigwa za uso. Hahaahahahaaaaaaaaaaaaa...sasa kama humu kunakushinda utaweza kutupa ndoano kwenye daladala kweli?


Mkuu grafani11 sehem zote unazozijua nishazipitia kwenye daladala, kisimani kwenye kuchota maji na msituni kwenye kukusanya kuni na kombolela na kokote unakokujua
Hivyo miss wa kinyaru asitegemee eti niko hapa kumuimbia nyimbo za kimapenzi za nini usawa huu aise
hapa ni vitendo ttuu wala sio mistari mamboya mistari nawaachia wewe dogo grafani11
 
Last edited by a moderator:
Wewe si ndiye uliyesema unajiamini kwa miss wa kinyaru, vipi tena unaogopa kivuli changu?

Nikuogope wewe wa nini aise
Ushamuona mkeo Heaven on earth kule anatangaza kutafuta muzungu maana amechoka kuwekwa pembeni na hizi ngozi nyeusi hizi sasa anataka muzungu
 
Last edited by a moderator:
charminglady hapo season one kwishney tunasubiri season 2. Anyway nina mambo mengi sana ya kuchangia hapa but lemme come back later ngoja nifanye kazi za watu hapa kabla sijapewa kimemo
 
Last edited by a moderator:
Heaven on earth we si unamuona dogo grafani11 yeye muda wote macho juu tuu na hapa sijui kapotelea wapi au ndo yuko chumbani na miss wa kinyaru
Jamani jamani huyu Mr Rocky sijui yukoje, wewe mwenyewe ndo uliniita chumbani umeona nimechelewa kuja unatafuta ugomvi kwa Grafuni11 na Heaven on earth, grafuni11 huy rafiki yako yukoje, anataka kupandisha tena pressure ya Heaven on earth na huku ilikuwa imeshashuka huyu ana lake huyu msipoangalia atawatenganisha,. Ngoja nimfuate huko chumbani nikamsikilize labda atapunguza umbea na wivu. Haya hodi chumbani Mr Rocky
 
Jamani jamani huyu Mr Rocky sijui yukoje, wewe mwenyewe ndo uliniita chumbani umeona nimechelewa kuja unatafuta ugomvi kwa Grafuni11 na Heaven on earth, grafuni11 huy rafiki yako yukoje, anataka kupandisha tena pressure ya Heaven on earth na huku ilikuwa imeshashuka huyu ana lake huyu msipoangalia atawatenganisha,. Ngoja nimfuate huko chumbani nikamsikilize labda atapunguza umbea na wivu. Haya hodi chumbani Mr Rocky
Wahi mama kampe, sio bure atakuwa ana HYSTERIA tu.
 
Jamani jamani huyu Mr Rocky sijui yukoje, wewe mwenyewe ndo uliniita chumbani umeona nimechelewa kuja unatafuta ugomvi kwa Grafuni11 na Heaven on earth, grafuni11 huy rafiki yako yukoje, anataka kupandisha tena pressure ya Heaven on earth na huku ilikuwa imeshashuka huyu ana lake huyu msipoangalia atawatenganisha,. Ngoja nimfuate huko chumbani nikamsikilize labda atapunguza umbea na wivu. Haya hodi chumbani Mr Rocky

Karibu bibie miss wa kinyaru
ukija huku umbea umbea wote uache nje hapa ni serious issue
na hatuongelei mapenzi ya kizamani ila ya kidigital
mengine sasa tuongee taratibu wengine huko nje wasisikie
 
hawa watu bwana ni nouma yaan kaaz kwel kwel akidhamiria kukupata atafanya njia hata pasipo na njia inabidi tuwazoee tu na kujifunza kuwa na msimamo!!!

Umeona eeeh.... Kuna wengine wanakanyagia hata mwaka. Lengo lake akupichue tu, then anasepa!!!!
 
Back
Top Bottom