Wanaume nijibuni..

Wanaume nijibuni..

Ndiyo ! mbona mm nina mpenzi nampenda sana na yeye ananipenda na ni mzuri pia,ila natongoza wanawake wengine tena hata kulala nao ila siwapendi kama huyu niliyenaye kwa sasa!
 
Wanawake wapo wengi sana, sasa km mwanaume aking'ang'ana na mwanamke mmoja, je wengine watatongozwa na nan?
 
Asilimia 75 ya wanaume wanafanya hivo,na hii 15 iliyobak hapo na wale ambao

1)watumishi wa Mungu
2)watu wenye open relationship kwa jamii nzma yaan famous

3)kipato cha chin sna maana michepko nayo gharama

4)mashoga


5)wale wwnye jinsia mbili
 
Hapo nikwamba anawadanganya hao wengine anao watongoza lakini upendo wake wa kweli upo kwa mke wake, hao wengine ni wakugegeda tu nakipita
 
Cc wanaume hio ni kawaida xana, kuzuia ni vigumu ila huwa tunafany kisiri ili tucvunje heshima ya yule umpendae
 
Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?

Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Moyo wa mwanaume unavyumba zaid ya mia vya upendo. Ukiona unapendwa shukuru
 
Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?

Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Tatizo hata tupewe warembo 100 tupewe option ya kuchagua mmoja lazima roho itatuuma kuwaacha wale 99 kuna huruma flan hivi huwa tuna feel lazima tuwarudie na wale 99
 
Kwa hii sentensi nimeamini ni vigumu sana kumridhisha mwanaume
don't stereotype,sisi wanaume wengine sio 'macho-kuona',kama nakupenda na kama uko katika mstari ulionyooka siwezi kuchepuka,nichepuke ili iweje? sina time hiyo kwanza.

tatizo linakuja kwa wewe mwanamke kua katika 'mstari ulionyooka'.
 
Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?

Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Kuna kupenda na kutamani.....elewa tofauti yake....yule unayemtamani anakuwa hana thamani baada ya kumtumia....lakini yule unayempenda unataka uwe naye tena na tena hata baada ya kumtumia.....
 
Ndivyo tulivyo rejelea maandiko matakatifu kisa cha Daudi na mke wa Uria Mhiti na mfalme Suleman
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom