Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,650
Aisee
kweli kabisaHapo ndio safi kabisa
Ukweli halisi ni kwamba kama mwanaume Mwenye kujitambua na kujielewa ikatokea akampenda mchumba au Mke na huduma anazohitaji toka kwake akazipata ipasavyo hatatongoza wengine lakini ikitokea amependa lakini hajapendwa ina maana hata huduma nyingine zitafika kwa mgao hilo halina ubishi mwanaume ataendelea kutongoza na akikubaliwa atapiga kama kawaida, kumbuka mwanaume anapopenda nae anaitaji kupendwa akithamini nae athaminiwe Maisha yatakuwa Mazuri yenye amani tatizo kina Dada mnakera ukishaonyeshwa unapendwa unaanza kuringa nikikupa ratiba yangu nawe unanipa yako ilimradi tuu tupishane sasa hapo ndipo panaleta mwanaume kutafuta kipoozeoMambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?
Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Sema lolote na nafsi yangu itaponaMimi napita tu.... No comment.
HmmmmSema lolote na nafsi yangu itapona
Ndo nini sasaaaHmmmm
Why.... It is an unspoken truthNdo nini sasaaa
HmmWhy.... It is an unspoken truth
I think more than 70 percent of men are it.... But also of many women of the working class are cheating.
Hakuna asiyetamani aina tofauti.Tatizo ni usiri! Haya mambo hayafanywi hadharani hata kama ni wanandoa.Je na nyie mnaweza kutuvumilia tukitamani mishidede ya aina tofauti tofauti? Au kuna double standards?