Wanaume nijibuni..

Wanaume nijibuni..

Mfano mimi huwa napenda wenye chura na vimbaombao kwa mpigo,sasa kama wewe ni mpenzi wangu na una chura halafu nikamwona kimbaombao nitaachaje kumpenda kwa mfano!![emoji28][emoji28][emoji28]
Unapenda sana onja onja wewe eeehh....!!!??
 
kwani ukipenda cocacola huwa upati kiu kunywa pepsi maramojamoja?
 
Dada wanaume wote duniamzima wako hivyo yani hayupo mwanaume ambae anaetosheka na mwanamke mmoja tu..! never...
 
Unapenda sana onja onja wewe eeehh....!!!??
Hapana rafiki ila wenye chura na mbaombao wote ni watamu,sasa nitafanya nini?![emoji53][emoji53][emoji53].......nitulie tu niteseke kimyakimya??[emoji53]
 
Back
Top Bottom