Kichaafulani
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 1,295
- 1,275
Kwani ukiwa na Prado ni dhambi kuwa na IST ?
Unapenda sana onja onja wewe eeehh....!!!??Mfano mimi huwa napenda wenye chura na vimbaombao kwa mpigo,sasa kama wewe ni mpenzi wangu na una chura halafu nikamwona kimbaombao nitaachaje kumpenda kwa mfano!!![]()
Yeskwani kutongoza ni sawa na mazoea shem?
nauliza tu
ok sawa
kwa hiyo michepuko ni IST?Kwani ukiwa na Prado ni dhambi kuwa na IST ?
Wengine wana kinyume chake...kwa hiyo michepuko ni IST?
duuuh
😀😀😀😀😀😀MOYO UNA CHEMBA NNE, SO ZOTE ZINATAKIWA KUJAZWA NA WANAWAKE
haya maisha hayana formula kabisa, but all in all original is the bestWengine wana kinyume chake...
Its not fine but its okay, tatizo mpo wengi sana tukigawana mmoja mmoja watabaki wengi wasio na wenza wao so tuvumilieni tu tunapowasaidia wengineSo it's fine for a man to have multiple sexual relationship?
Yes, na wengine huwa wana status zote mbili... Huku njia kuu na huku mcheps...haya maisha hayana formula kabisa, but all in all original is the best
mchepuko is just a spare tire
hahahahhahaha yaani dunia imeisha kabisaaaYes, na wengine huwa wana status zote mbili... Huku njia kuu na huku mcheps...
Hiyo ni tamaa tuu ila c kwa sana napia akiwa anakupenda kiukweli atajizuiaSasa Kama mtu anatongoza hovyo kuna uaminifu hapo?
Halafu cha ajabu wote tunakataa... Yaani ukisikiliza watu wanavyokataa, unaweza ukadhani hakuna michepukohahahahhahaha yaani dunia imeisha kabisaaa
cjui tuwaiteje hawa, orimchepuko
hakika michepuko haitakaa iishe kama ndo hiviHalafu cha ajabu wote tunakataa... Yaani ukisikiliza watu wanavyokataa, unaweza ukadhani hakuna michepuko
Hapana rafiki ila wenye chura na mbaombao wote ni watamu,sasa nitafanya nini?!Unapenda sana onja onja wewe eeehh....!!!??


.......nitulie tu niteseke kimyakimya??