Wanaume nijibuni..

Wanaume nijibuni..

Hiyo ni kawaida sana.

Kama ambavyo wako wanawake walioolewa na wanatoka nje ya ndoa kila siku.

It is just the matter of being honest to yr partner..
 
Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?

Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Ndio.
Tena manaume anaweza akawa na mchepuko kwa ajili ya ngono ya ziada tu na bado mapenzi yote yakawa kwa mkewe/ mpenzi wake.
 
Ndio mkuu.mimi kuna mtu niliwahi mpenda sana nikanyimwa papuchi.kilA siku karenda,afu nikawA na kiu ,nikaenda kufata papuchi kwingne,
 
Kama mtu anakupenda kweli kabisa hawezi kukusaliti..
 
Mwanaume akipewa wanawake 10 warembo na aambiwe achague mmoja, atachagua mzuri na mrembo zaidi ya wote lkn roho yake itamuuma sana kukosa hao tisa waliobakia.
 
Kama tunampenda Mungu na bado tunatenda dhambi mtuvumilie tu ndio tulivyo
 
Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?

Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
unachotakiwa kujua mwanaume hata akiwa na madem 10 kuna mmoja huyo ndo tunamuitaga the one
yan idadi inavoongezeka haiathiri penz lake kwa huyo mpenz wake mwenyewe
swali are you the one??????????????????
 
Yep, inawezakana kabisa kutongoza mwanamke mwingine. Issue inakuja pale mathalani unapompenda mwanamke kwa mapenzi ya dhati kabisa lakini yy huyo ke akawa anazingua mambo fulani hivi: mfano, kutokuwa na muda na mimi wa faragha (kugegedana ninapohitaji), kuwa na visingizio mara nimebanwa sana na kazi mara oooh nimechoka sana. Au pia kuwa na masharti vimasharti wakati wa kukutana (kugegedana) kama vile aaah babe hiyo mkao mi siwezi ilimradi tu kunikwaza tu. Sasa tambua mwanaume yeyote aliyekamilika sex kwake ni number 1 priority upo hapo..! Sex is a need to man not a want. Ukipuuza kidogo tu tayari waweza kumpoteza kama mme hamjui MUNGU.
 
Weweee hamnaga mwanaume shujaa kwa mwanamke mpya ilimradi aoshe tu rungu
 
Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?

Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Issue yako ni ngumu.
Wanaume huwa wanahitaji sex more than anything. Na Hapo tutahitaji kila aina ya mwanamke, tako kidogo, namba 8, mwembamba etc. Na ni curiosity ya kawaida tu kama wewe kwenye buffet kisha ukawa ba misosi mingi, ofkoz choices zako zitakuwa very broad.
Lkn inapokuja kuchagua partner, wanaume Wengi huitaji kuwa na mtu wa kawaida tu, lkn mwenye understanding nzuri ya Mambo, anayechangia maarifa nyumbani, na anayejali.
Still anaweza kucheat lkn Huyu aliyemuweka kama life partner ataendelea kumuhitaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom