Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,360
Yah ni kweli pengine kuna kitu kina mseduce wa ndani Hana
kwa sisi wanaume ukishakuwa na mmoja ndani kumiliki mwingine ni lazima kutongoza, then wa kwanza ana sifa zake huyu wa pili nae huwa na sifa zake ambazo mara nyingi wa kwanza anakuwa hana sifa hizo.