Wanaume nijibuni..

Wanaume nijibuni..

Yah ni kweli pengine kuna kitu kina mseduce wa ndani Hana
kwa sisi wanaume ukishakuwa na mmoja ndani kumiliki mwingine ni lazima kutongoza, then wa kwanza ana sifa zake huyu wa pili nae huwa na sifa zake ambazo mara nyingi wa kwanza anakuwa hana sifa hizo.
 
Kwani kama nina gari kisha nikaomba rift au kuendesha kwa rafiki yangu maana yake naichukia gari yangu.
 
Kwa hii sentensi nimeamini ni vigumu sana kumridhisha mwanaume
Kwenye mawenzi timiza wajibu wako kwa mwenzio kisha zidai haki zako za kimapenzi kwa stahan na kiasi, mengine yapotezee, utakufa siku si zako au utabadilisha wapenzi kila siku sababu hutampata aliyeumbwa kwa kadri matakwa yako
 
Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?

Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Ipo tofauti kubwa kati ya kupenda na kutamani au unatatizwa na maana ya kitendo cha kutongoza? Alitamani wengi kabla ya KUKUPENDA wewe pia. Na si rahisi sana kujizuia kutamani.
 
Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?

Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Wewe kweli ni kiazi..! Tangu uzaliwe hujawahi ona mwanaume ana wake wawili?? Vipi uliwahi kumwona mwanamke ameolewa na wanaume wawili kwa mpigo..!

Sasa kwa taarifa yako, mwanaume ata akapangiwa warembo 100 apewe fursa ya kuchagua kisu kimoja, atachagua mmoja ila roho itabakia inauma kuacha hawa 99.
 
Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?

Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Nikweli na mapenzi yapo kwa 100%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom