Wanaume na ugonjwa wa kutokujiamini

Wanaume na ugonjwa wa kutokujiamini

So ulimtosa ila Bado ukaendelea kuongea nae kuhusu malavi davi hadi akakwambia Hakuna aliyewahi mtosa toka amepata hilo gari.. Something fishy hapa.. Jamaa hakukaza ipasavyo otherwise hii topic ingekuwa ya kumsifia jamaa
 
Inamaana wewe bila pesa hupati mwanamke kabisa? Au husikiagi tukilia tumekopwa...kuna wanaume ni wajanja hupati chochote kwake na upo nae jinsi alivyokunasa hata wewe huelewi...
Kama ni hivyo basi mwanaume anakuwa amekupa maneno ya kukuaminisha kuna kitu kizuri mbele yako. Na wakati mwingine wengine huenda mbali na kujitoa siku za mwanzoni mwa mahusiano. Wanaume wengi wanajua ukishaingia ndani ya 18 siku ya kwanza ni rahisi kukupata hata siku nyingine kwakuwa ameshakuvua. Ila tuseme ukweli sasa hivi hali imekuwa tofauti. wanawake wengi wanaangalia watapata nini kwa mwanaume. Wakati mwingine siyo lazima umpe hela mwanzoni lakini wanakuwa tayari wamepiga mahesabu ya huko mbeleni.

Kuna mmoja humu aliwahi kusema wanawake wanalalamika kwamba siku hizi wanaume wa kuoa hakuna. Lakini unakuta mwanamke ameweka vigezo...awe mrefu, awe na six pack, awe anajali, n.k. Hawa watu ni wengi tatizo utakuta mtu wa namna hiyo ni fundi seremala.Kwa ufupi wengi huweka vigezo vya kimuonekano lakini nyuma ya pazia huficha suala la kipato. Kwahiyo tusidanganyane wanawake wengi kipata cha mume ni determinant factor ya kupata mabinti zaidi ya 95%. Hiyo 5% ndo wachache wanaoweza kumpenda mtu alivyo na kuridhika naye.
 
Una majanga wewe.... umetoa hoja zaidi ya tatu at one... hata wanaojibu cjui wanabase wapi..!???

alafu we unakunywa ee!!??
 
Una majanga wewe.... umetoa hoja zaidi ya tatu at one... hata wanaojibu cjui wanabase wapi..!???

alafu we unakunywa ee!!??
wote wamekimbilia ya gari ya kitandani wameacha teh...
Hahaha kwanini?unahisi naandika nikiwa high?
 
So ulimtosa ila Bado ukaendelea kuongea nae kuhusu malavi davi hadi akakwambia Hakuna aliyewahi mtosa toka amepata hilo gari.. Something fishy hapa.. Jamaa hakukaza ipasavyo otherwise hii topic ingekuwa ya kumsifia jamaa
Nilipomjibu no aliendelea kuhoji kwanini etc ndipo na mi nilimuhoji maswali yangu na siku hiohio tulimaliza kuchat hatujaendelea tena...
 
Exactly vale ndio maana hawaishi kulalama....hivi humu hakuna wazee wawape tactics za zamani maana ni shidaa
Tactics zipi? Pesa ndio tactics, mapenzi yamekuwa biashara. Wanaume wote wanaelewa hilo. Na wanawake ndio waliobiasharisha mapenzi.

Hakuna mapenzi ya bure.
 
Nilipomjibu no aliendelea kuhoji kwanini etc ndipo na mi nilimuhoji maswali yangu na siku hiohio tulimaliza kuchat hatujaendelea tena...
Sawa. Ulimtosa sababu kaingia kwa gia ya gari au kwa Sababu zingine ila gari ikiwa moja wapo?
 
We huwa unalialia sana hapa, kwa style hio utaendelea kulizwa sana na hao wa huko Tanzania daslam ulipo shaurilo
Utalia lia ndani ya dar es salaam,
Kaa chonjo we, ndani ya dar es salam,
Hii ndio bongo, dar es salaam
- lady JD.
 
Utalia lia ndani ya dar es salaam,
Kaa chonjo we, ndani ya dar es salam,
Hii ndio bongo, dar es salaam
- lady JD.
[emoji3] [emoji3] mbona umechangamka hivyo..hio mistari mpe mr mtui ndio huwa analia humu..
 
Kikubwa alichokosea ndio hicho hajiamini, pili kumkubali kisa gari ni kujiibia hisia zangu.....infact ilibidi ajipange labda aniingie kwa njia nyingine
Wadada wengi wa mjini wanashobokea magari mazuri. Mdada kaingia kingi because of gari, halafu analalama eti mwanaume hana tactics, tactics zipi? wakati pesa na magari mazuri ndio mtama kwa Watoto(tactics).

Wosia wa baba : " mwanangu tafuta pesa na hayo yote mtazidishiwa"
 
Back
Top Bottom