Wanaume na ugonjwa wa kutokujiamini

Wanaume na ugonjwa wa kutokujiamini

mimi naamini katika mali, sipendi umasikini ila pia sipend show off za kiduwanzi, ni utoto

dada zangu na mabinti zangu pia nawambia wazingatie elimu wafanye kazi ili kuwa na mali, pia bwana watakaemchagua waangalie uwezo wake na msukumo wake kwenye kupata mali,

mali ni muhimu katika mahusiano na familia ili kujenga uhusiano na familia bora, ila wasije wakauza utu wao kwa ajili ya mali

kwenye jamii niliyotokea mali na elimu ni kitu cha muhimu sana
napenda mali na pesa sio kwa ajili ya kuringishia mademu au watu ila kwa ajili ya security yangu na ya watu niwapendao

non material things kama kukung'utana kitandani na vitu vingine sentimental vina nafasi ila pesa na mali ndio vya kwanza

sipendi kuomba wala kujishusha, napenda pesa na mali na wala sioni aibu kusema
Nlichokipenda kutoka kwako ni kwamba umesema ukweli.

Ukweli umekufanya kuwa huru.
Be blessed
 
Ndo hapo ambapo huwa siumuzi kichwa juu ya kiumbe anayeitwa mwanamke, wanawake walio wengi wanapenda material things na wanaume wana tumia material hizo hizo kuwapata sasa hapo kutojiamini kuna toka wapi? Kama ni suala LA kitandani hata wanawake walio wengi hawajiamini, kuweka makalio bandia, kujichubua wengine kujiwekea vitu mbali mbali ukeni eti kufanya uke kuwa tight je huko ni kujiamini? Wanaume wangapi wanastori za kumwagia maji kutukanwa wanapowafuata kwa mguu Kuja kuwatongoza? Ila sijawah sikia Mwenye gari kamwagiwa maji hata huyo ninaamini haukumjibu vibaya ndo maana hata mawasiliano yanaendelea
 
nimependa hii...ila nachojua wanatumia gari kungoa wale wenye akili za hivo....mwenye kujitambua hatangolewakwa gari....in short inaongeza tumanhood kuwa kawalamba wale na wale......we unayjitambua ndiounachomoa...so win win situation
 
Wenzako wengi wanaangalia magari na wanashoboka sana.
Ila kwa mwanaume anayejijua gari siyo kitu sana, labda iwe added advantage tu
 
Ngoja niendelee kutafuta hela maana kelele zote zote mwisho wake ni kutoa hela,
Hata mtoa mada hatafuta namba ya simu ya huyo mwenye gari nzuri Anampa hela.
Bila kusahau ahsante tumejua wewe ni mulembo ya mujini.
 
Exactly vale ndio maana hawaishi kulalama....hivi humu hakuna wazee wawape tactics za zamani maana ni shidaa
Hao wazee wa zamani ndo unataka kusemeje kuwa walikuwa hawahongi....!?? nyoo... Usisahau zaman ukimtaka mwanamke lazima umlimie shamba, umsaidie kazi mfano kubeba mizigo, usaidie/umjengee nyumba, umletee vizawadi mfano matunda na mengine mengi. Sasa utaona hapo kuwa hao wazee wa zamani walikuwa nao ni wahongoji ila kwa namna ya kizamani, ila kwa sasa ndo utahongwa gari, pesa, nyumba n.k

Wanawake ambao hamshobokei mali mpo wachache sana ila 90% ni wa kudanganywa tu. Unajua nyie wanawake hamjiamini ndio maana ni rahis sana kutekwa kwa vitu vidogovidogo.
In nature wanawake wanapenda mtu atakaye mlinda na kumjudumia kwa kila hali, ndio maana wanawake wengi hawachomoki kwa dume linalojua kudanganya na lenye mali.
Kama wewe una ujasiri wa kujitegemea hongera, wenzako ni full slopes...
 
Kwanza kabisa huu ugonjwa unawahusu baadhi narudia tena BAADHI na si wote ya wanaume wa dar na wa mikoani haujachagua hivyo kelele za kurushiana mpira kati yenu hazitobadili ukweli.

Kwakweli inawezekana wengi wenu mnajiona vidume ila kuna mambo yanafanyika kwa sasa na yanakuwa kwa kasi..it is pathetic mwanaume kuamini bila gari zuri hawezi kung'oa mwanamke mkali mjini duh, ukinunua gari kali tusigeuke kuliangalia vizuri we ushahisi umetakwa sawa kuna wanawake wanashoboka kwa magari yenu ila msijichanganye sio wote aiseee.

Juzi kati kuna kaka nilikuwa nachat kama mteja na aliagiza mzigo,siku ya kumkabidhi mzigo nilimuomba afike nilipo kwasababu nilishindwa kutoka nilipo, alipofika watu wote tuligeuka si kwa ndinga lile sitoweza kutaja aina ya gari isijekuwa yupo humu,ofcourse macho yalinitoka ndio simply kwasababu ni new model na hata mjini bado watu hawanalo.

Tumekabidhiana mzigo jioni chat za ajabu zikaanza ambazo sikuzi entertain, in few days he asked me out, nilimtolea nje akashangaa sana, badae katika kumbana alikubali kuwa hakuna mdada amewahi chomoa toka atinge town na hilo gari lake jipya, mxeeeew nilisonya nikampotezea ni vile tu tunafanya biashara na siwezi acha hio hela.

Huo ni mfano tu, labda niwaulize nyie wanaume mnaotumia njia hio kabla ya kuyanunua hayo magari mlikuwa wanachama wa chaputa au....mwanaume ukiona unakitabia hiki we jua tu huko ni kutokujiamini, mwanaume halisi hata kwa mguu au bila hela anang'oa tu heheheh hapa najua mtabisha ila habari ndio hio, inamaana nyie mkifulia mtaacha kula vinono, wanaume wa style hii mnashindwa hata kuheshimika maana hamjiamini yakhe.....

Kitandani ndio majangaz kabisa,yani mmefika stage mpaka umemaliza kugegeda huna uhakika kama my love wako kafika au la,mnakimbilia kwa wamasai na kunywa supu ya korodani, wengine mmefika stage mpaka mnafungua uzi mnasema mwaka huu humridhishi mtu ukimaliza wewe inatosha na wengi mlimiminika ati hahahaha hizo ni dalili uchovu wa kitandani unaongezeka kwa kasi maskini, mwanaume weka heshima kitandani chaaaa punguzeni kutokujiamini.

My last shot ni hiki kitabia mwanaume mkiwa na kiugomvi kidogo, usimpe ukweli usimkosoe anakimbilia "we kama umepata mwingine sema tu" nonsense hivi mmekuaje hamuwezi kujiamini kwa mambo madogo madogo na makubwa pia sijajua shida ni nini....nyie si ndio vichwa muwe kama vichwa kweli...mnafanya mdharaulike pyeeee

Haya sasa nyie nirushieni tu mawe, niiteni majina yote hakuna jipya hapa duniani ila najua wahusika kiujumbe kimewafikia...poleni nilipokosea na kuchanganya lugha

Weekend njema....
Ntakukumbusha next month nione kama hutakuwa umeingia line kwa huyu mshkaji..
 
Kwanza kabisa huu ugonjwa unawahusu baadhi narudia tena BAADHI na si wote ya wanaume wa dar na wa mikoani haujachagua hivyo kelele za kurushiana mpira kati yenu hazitobadili ukweli.

Kwakweli inawezekana wengi wenu mnajiona vidume ila kuna mambo yanafanyika kwa sasa na yanakuwa kwa kasi..it is pathetic mwanaume kuamini bila gari zuri hawezi kung'oa mwanamke mkali mjini duh, ukinunua gari kali tusigeuke kuliangalia vizuri we ushahisi umetakwa sawa kuna wanawake wanashoboka kwa magari yenu ila msijichanganye sio wote aiseee.

Juzi kati kuna kaka nilikuwa nachat kama mteja na aliagiza mzigo,siku ya kumkabidhi mzigo nilimuomba afike nilipo kwasababu nilishindwa kutoka nilipo, alipofika watu wote tuligeuka si kwa ndinga lile sitoweza kutaja aina ya gari isijekuwa yupo humu,ofcourse macho yalinitoka ndio simply kwasababu ni new model na hata mjini bado watu hawanalo.

Tumekabidhiana mzigo jioni chat za ajabu zikaanza ambazo sikuzi entertain, in few days he asked me out, nilimtolea nje akashangaa sana, badae katika kumbana alikubali kuwa hakuna mdada amewahi chomoa toka atinge town na hilo gari lake jipya, mxeeeew nilisonya nikampotezea ni vile tu tunafanya biashara na siwezi acha hio hela.

Huo ni mfano tu, labda niwaulize nyie wanaume mnaotumia njia hio kabla ya kuyanunua hayo magari mlikuwa wanachama wa chaputa au....mwanaume ukiona unakitabia hiki we jua tu huko ni kutokujiamini, mwanaume halisi hata kwa mguu au bila hela anang'oa tu heheheh hapa najua mtabisha ila habari ndio hio, inamaana nyie mkifulia mtaacha kula vinono, wanaume wa style hii mnashindwa hata kuheshimika maana hamjiamini yakhe.....

Kitandani ndio majangaz kabisa,yani mmefika stage mpaka umemaliza kugegeda huna uhakika kama my love wako kafika au la,mnakimbilia kwa wamasai na kunywa supu ya korodani, wengine mmefika stage mpaka mnafungua uzi mnasema mwaka huu humridhishi mtu ukimaliza wewe inatosha na wengi mlimiminika ati hahahaha hizo ni dalili uchovu wa kitandani unaongezeka kwa kasi maskini, mwanaume weka heshima kitandani chaaaa punguzeni kutokujiamini.

My last shot ni hiki kitabia mwanaume mkiwa na kiugomvi kidogo, usimpe ukweli usimkosoe anakimbilia "we kama umepata mwingine sema tu" nonsense hivi mmekuaje hamuwezi kujiamini kwa mambo madogo madogo na makubwa pia sijajua shida ni nini....nyie si ndio vichwa muwe kama vichwa kweli...mnafanya mdharaulike pyeeee

Haya sasa nyie nirushieni tu mawe, niiteni majina yote hakuna jipya hapa duniani ila najua wahusika kiujumbe kimewafikia...poleni nilipokosea na kuchanganya lugha

Weekend njema....
Mimi mwanaume kweri, karibu tuyajenge
 
Back
Top Bottom