Wanaume na ugonjwa wa kutokujiamini

Wanaume na ugonjwa wa kutokujiamini

Ni kweli kabisa 'mwanaume kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka duniani'
Ni kiumbe anaepotea kama wadada wenye rangi nyeusi wanavyochikichia sie yetu macho....
 
Wanaume tushajua weakness kubwa y mwanamke ni gari madem wengine akiona una nyumba anakuona boya ila mwnye gar kali ndo babkubwa.hahaha nyumba yko yanini wkt kwao anaishi mkoko ndo hbr y mjini kula bata tu.ndomana kuoa ni ngum bora umege tu ujikatae
 
Anachosema ni kweli kuwa wewe ndio umechomoa na pengine ni kwasababu umeolewa juzijuzi ila ungekuwa single naamini hata wewe ungejishangaa umeingia ndani ya gari bila hata kuambiwa
Hahaha.....mi sijaolewa bana....wapo wengi tu single na wanajielewa...
 
Teh teh teh "Guys be like, natafuta driver, I got a new car........".[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Utaona tu wanatiana moyo, "wewe Tafuta tu pesa, utang'oa mademu wa kila aina". Naishiaga tu kuwaombea kimya kimya so that at least they can receive some good damn sense. Unatafuta hela kwa ajili ya mwanamke, geeeeez, you really need deliverance ASAP sweetheart. It's as if there is a special market where women are sold, yoi just go with your cash and buy a woman of your choice. Anyway, maybe your dreams are atill valid. Mwingine hela anazipata na bado hatakiwi maskini

Ila rejection inauma nyie, kiruuu. Mtu akikataliwa wenzie watamshauri "wewe muache tu, Tafuta hela, ataenda huko atachezewa afu akirudi kwako umeshafanikiwa na una familia yako". Kwamba mtu tu akikutaa basi lazima huko kwingine atachezewa, ila kujipa moyo muhimu na as if kuna SI Unit ya mafanikio kwamba rejection= Success. Ningetafuta watu na mie mbona wanikatae, wakirudi tu nishafanikiwa teh, simplee. Usikataliwe wewe nani jamani kwa mfano aghaaa, usisahau kuna kitu kinaitwa double coincidence of vigezo, so kuna mahali tu vigezo havitamatch . Kwa hiyo ukiwa huna hela ndo sharti ukubaliwe au, ukikataliwa tu "ooh kisa sina hela". Wanaume mjiamini tu jamani, hizo hela zenyewe za kukufanya ung'oe kila demu ziko wapi. Afu hata kama utataka kuhonga, Kila muhongwaji ana price yake, you will never afford some of them wahongwaji. Tafuta hela kwa ajili ya future yako kwanza na sio kwa ajili ya mwanamke.

#Meambizii#
 
safi sana dada maana kuna wanaume hawajiamini kabisa, wakinunua vigari vya mikopo basi mtaani kila mwanamke wanatongoza, vigari venyewe starlet, spacio na mengine ya bei rahisi
Hahaha pole sana bana inaonekana kuna mwenye starlet alikupora tonge mdomoni...
 
Teh teh teh "Guys be like, natafuta driver, I got a new car........".[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Utaona tu wanatiana moyo, "wewe Tafuta tu pesa, utang'oa mademu wa kila aina". Naishiaga tu kuwaombea kimya kimya so that at least they can receive some good damn sense. Unatafuta hela kwa ajili ya mwanamke, geeeeez, you really need deliverance ASAP sweetheart. It's as if there is a special market where women are sold, yoi just go with your cash and buy a woman of your choice. Anyway, maybe your dreams are atill valid. Mwingine hela anazipata na bado hatakiwi maskini

Ila rejection inauma nyie, kiruuu. Mtu akikataliwa wenzie watamshauri "wewe muache tu, Tafuta hela, ataenda huko atachezewa afu akirudi kwako umeshafanikiwa na una familia yako". Kwamba mtu tu akikutaa basi lazima huko kwingine atachezewa, ila kujipa moyo muhimu na as if kuna SI Unit ya mafanikio kwamba rejection= Success. Ningetafuta watu na mie mbona wanikatae, wakirudi tu nishafanikiwa teh, simplee. Usikataliwe wewe nani jamani kwa mfano aghaaa, usisahau kuna kitu kinaitwa double coincidence of vigezo, so kuna mahali tu vigezo havitamatch . Kwa hiyo ukiwa huna hela ndo sharti ukubaliwe au, ukikataliwa tu "ooh kisa sina hela". Wanaume mjiamini tu jamani, hizo hela zenyewe za kukufanya ung'oe kila demu ziko wapi. Afu hata kama utataka kuhonga, Kila muhongwaji ana price yake, you will never afford some of them wahongwaji. Tafuta hela kwa ajili ya future yako kwanza na sio kwa ajili ya mwanamke.

#Meambizii#

Umemaliza yote ahsante.
 
Kwanza kabisa huu ugonjwa unawahusu baadhi narudia tena BAADHI na si wote ya wanaume wa dar na wa mikoani haujachagua hivyo kelele za kurushiana mpira kati yenu hazitobadili ukweli.

Kwakweli inawezekana wengi wenu mnajiona vidume ila kuna mambo yanafanyika kwa sasa na yanakuwa kwa kasi..it is pathetic mwanaume kuamini bila gari zuri hawezi kung'oa mwanamke mkali mjini duh, ukinunua gari kali tusigeuke kuliangalia vizuri we ushahisi umetakwa sawa kuna wanawake wanashoboka kwa magari yenu ila msijichanganye sio wote aiseee.

Juzi kati kuna kaka nilikuwa nachat kama mteja na aliagiza mzigo,siku ya kumkabidhi mzigo nilimuomba afike nilipo kwasababu nilishindwa kutoka nilipo, alipofika watu wote tuligeuka si kwa ndinga lile sitoweza kutaja aina ya gari isijekuwa yupo humu,ofcourse macho yalinitoka ndio simply kwasababu ni new model na hata mjini bado watu hawanalo.

Tumekabidhiana mzigo jioni chat za ajabu zikaanza ambazo sikuzi entertain, in few days he asked me out, nilimtolea nje akashangaa sana, badae katika kumbana alikubali kuwa hakuna mdada amewahi chomoa toka atinge town na hilo gari lake jipya, mxeeeew nilisonya nikampotezea ni vile tu tunafanya biashara na siwezi acha hio hela.

Huo ni mfano tu, labda niwaulize nyie wanaume mnaotumia njia hio kabla ya kuyanunua hayo magari mlikuwa wanachama wa chaputa au....mwanaume ukiona unakitabia hiki we jua tu huko ni kutokujiamini, mwanaume halisi hata kwa mguu au bila hela anang'oa tu heheheh hapa najua mtabisha ila habari ndio hio, inamaana nyie mkifulia mtaacha kula vinono, wanaume wa style hii mnashindwa hata kuheshimika maana hamjiamini yakhe.....

Kitandani ndio majangaz kabisa,yani mmefika stage mpaka umemaliza kugegeda huna uhakika kama my love wako kafika au la,mnakimbilia kwa wamasai na kunywa supu ya korodani, wengine mmefika stage mpaka mnafungua uzi mnasema mwaka huu humridhishi mtu ukimaliza wewe inatosha na wengi mlimiminika ati hahahaha hizo ni dalili uchovu wa kitandani unaongezeka kwa kasi maskini, mwanaume weka heshima kitandani chaaaa punguzeni kutokujiamini.

My last shot ni hiki kitabia mwanaume mkiwa na kiugomvi kidogo, usimpe ukweli usimkosoe anakimbilia "we kama umepata mwingine sema tu" nonsense hivi mmekuaje hamuwezi kujiamini kwa mambo madogo madogo na makubwa pia sijajua shida ni nini....nyie si ndio vichwa muwe kama vichwa kweli...mnafanya mdharaulike pyeeee

Haya sasa nyie nirushieni tu mawe, niiteni majina yote hakuna jipya hapa duniani ila najua wahusika kiujumbe kimewafikia...poleni nilipokosea na kuchanganya lugha

Weekend njema....
Aisee brenda 18..nakushukuru kwa uzi wako..... Unaongea ukweli.. Huwa nawambia vijana wenzangu kua ishu sio gari.. Ni swala la kujiamini tu.. Huko nyuma kuna uzi ulikua una uliza kwanini wanaume hudanganya wakiws katika stage ya kutongoza.... Na alie leta mada alisema hakuna haja ya mwanaume kudanganya ishu ni kua muwazi tu.. And keeping it real....

Again kuhusu hii post naungana na wewe moja kwa moja moja...
Wanansema sijui mwanamke pesa ukitaka kula mzigo.. Lakini ukweli ni kwamba ishu ni namna unavyotemka kihisia mwanamke kwa kutumia maneno....

Mimi huwa wakiniambia niwatoe out nawapelekaga kwenye hizi pub... Za kawaida sana... Nawagizia magimbi maziwa au wali nyama....

Wakiniuliza una gari nawambia sina gari bali miguu yangu inatosha....
Nikiwambia naishi sehemu ya kawaida sana.... Wananibishia nadhani labda due to my big morphology.....wananganiza twende.... Nawambia tucheze mchezo wa kubet... Kua pakiwa pa kawaida...namtekenya maziwa.. Pasipo kua pa kawaida tamnunulia bikini.....
Basi tukienda ghetto...... Huwa mara nyingi nashinda..... Na anza kwa kuwa tekenya.... Then mengine tunafungia mechi....

A man is a man.. Wether sijui huna gari au huna nyumba.... You will always be a man....
 
mtu anayesema mali na pesa kwake sio kitu huyo ana pesa na mali tayari, pengine alikulia familia ya kitajiri na sasa pia anajitegemea na au ameolewa na tajiri na kweli hapo pesa sio ishu sana

ila mtu ambaye ameanzia zero kasoma kwa mbinde, kazi akapata kwa mbinde, masimango mengi, huyo anajua pesa ina nguvu gani na inawezaje kumdhalilisha mtu hata akajutia kuzaliwa na kutamani kujiondoa kwenye hii dunia
 
Another one of those episodes.

It's only natural, when a brotha feels more confident thanx to a few awesome possessions. Be it some dope kicks, cool wear, kickass gadgets, badass toys, you name it. It's not a sin.

Btw, Drake's forever is one of my favourite songs. There's a line, the only line which speaks about a woman, that's what I'd say in this case.
 
mtu anayesema mali na pesa kwake sio kitu huyo ana pesa na mali tayari, pengine alikulia familia ya kitajiri na sasa pia anajitegemea na au ameolewa na tajiri na kweli hapo pesa sio ishu sana

ila mtu ambaye ameanzia zero kasoma kwa mbinde, kazi akapata kwa mbinde, masimango mengi, huyo anajua pesa ina nguvu gani na inawezaje kumdhalilisha mtu hata akajutia kuzaliwa na kutamani kujiondoa kwenye hii dunia
Hili jina kuna sehemu nimeliona.....
 
Another one of those episodes.

It's only natural, when a brotha feels more confident thanx to a few awesome possessions. Be it some dope kicks, cool wear, kickass gadgets, badass toys, you name it. It's not a sin.

Btw, Drake's forever is one of my favourite songs. There's a line, the only line which speaks about a woman, that's what I'd say in this case.
Hebu tupe huo mstari drake alisemaje...
Kwahio confidence yako hutegemea what you posses, kesho ukiamka huna kwisha habari yako...
 
Another one of those episodes.

It's only natural, when a brotha feels more confident thanx to a few awesome possessions. Be it some dope kicks, cool wear, kickass gadgets, badass toys, you name it. It's not a sin.

Btw, Drake's forever is one of my favourite songs. There's a line, the only line which speaks about a woman, that's what I'd say in this case.
chasing shit after the mall, telling every girl she is the one for me, i want this shit forever..., sijui nimeukumbuka fresh
 
Back
Top Bottom