Wanaume na ugonjwa wa kutokujiamini

Wanaume na ugonjwa wa kutokujiamini

na nyie w'wake mnahusika ktk upungufu wa nguvu za kiume unapompikia mwanaume chipsi unategemea nini? hasa hasa wanawake wa Daslamu
 
Teh teh teh "Guys be like, natafuta driver, I got a new car........".[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Utaona tu wanatiana moyo, "wewe Tafuta tu pesa, utang'oa mademu wa kila aina". Naishiaga tu kuwaombea kimya kimya so that at least they can receive some good damn sense. Unatafuta hela kwa ajili ya mwanamke, geeeeez, you really need deliverance ASAP sweetheart. It's as if there is a special market where women are sold, yoi just go with your cash and buy a woman of your choice. Anyway, maybe your dreams are atill valid. Mwingine hela anazipata na bado hatakiwi maskini

Ila rejection inauma nyie, kiruuu. Mtu akikataliwa wenzie watamshauri "wewe muache tu, Tafuta hela, ataenda huko atachezewa afu akirudi kwako umeshafanikiwa na una familia yako". Kwamba mtu tu akikutaa basi lazima huko kwingine atachezewa, ila kujipa moyo muhimu na as if kuna SI Unit ya mafanikio kwamba rejection= Success. Ningetafuta watu na mie mbona wanikatae, wakirudi tu nishafanikiwa teh, simplee. Usikataliwe wewe nani jamani kwa mfano aghaaa, usisahau kuna kitu kinaitwa double coincidence of vigezo, so kuna mahali tu vigezo havitamatch . Kwa hiyo ukiwa huna hela ndo sharti ukubaliwe au, ukikataliwa tu "ooh kisa sina hela". Wanaume mjiamini tu jamani, hizo hela zenyewe za kukufanya ung'oe kila demu ziko wapi. Afu hata kama utataka kuhonga, Kila muhongwaji ana price yake, you will never afford some of them wahongwaji. Tafuta hela kwa ajili ya future yako kwanza na sio kwa ajili ya mwanamke.

#Meambizii#
Asante sana Heaven nimekuelewa mnoooo.
 
Hahaha kama kawaida yako...mumerusha kibomu, we mtoto wa kinyaki wewe una hatari..
Mmmh ukweli unauma, ila hatuna jinsi tutakumbushana tu. Yani mtu akiwa tu na vijicent anahisi maisha ya kila mwanamke yana-evolve around him. Mmh wapo utakaowabeba, lakini sio wote. Hatusemi kwamba tudate broke brothas maana umaskini sio sifa wala kigezo cha kupendwa. Ila mtu asihisi kwamba pesa ndo inacontrol mahusiano yake, ni muhimu sana iwepo lakini sio kwamba ndo kila kitu kwenye mahusiano. Ndo maana mwingine anamtreat mwanawake wake anavyojisikia daah, maana anahisi mwanamke ni one of his items kwa sababu tu ana hela. Utaachwa tu pamoja na vijicent vyako, kalagabaho
 
mtu anayesema mali na pesa kwake sio kitu huyo ana pesa na mali tayari, pengine alikulia familia ya kitajiri na sasa pia anajitegemea na au ameolewa na tajiri na kweli hapo pesa sio ishu sana

ila mtu ambaye ameanzia zero kasoma kwa mbinde, kazi akapata kwa mbinde, masimango mengi, huyo anajua pesa ina nguvu gani na inawezaje kumdhalilisha mtu hata akajutia kuzaliwa na kutamani kujiondoa kwenye hii dunia
Kama ndo hivyo mi nashkuru sana Mungu. Cjawahi kujihisi inferior toka kupata ufahamu japo kila kitu ni shida kwangu. Najiamini kinoma na life yangu.
 
Design yako ndio wanaume niliowaongelea hapa....umeshajiaminisha hivyo, kesho ukiamka huna sijui maisha yako yatasimama?

Ngoja nibadili lugha labda utanielewa. Ni kawaida kwa mwanaume kujiamini zaidi(mind "zaidi"), anapokuwa na umiliki wa vitu fulani. Si lazima gari, hata nikivaa raba kali, khakis imenikubali, shati imelala na mwili, nimeoga, nina change kadhaa kwa wallet, lazima kujiamini kwangu kutakuwa juu zaidi ya ambavyo ningekuwa kinyume na hapo. Kujiamini kunachangiwa sana na kujisikia vizuri.

I bet hata wewe na kina mama wenzio wengi tu, viwango vyenu vya kujiamini huchangiwa na namna make up ilivyofanywa, wig/weaving(?), umevaa nini, n.k.
 
Kama ndo hivyo mi nashkuru sana Mungu. Cjawahi kujihisi inferior toka kupata ufahamu japo kila kitu ni shida kwangu. Najiamini kinoma na life yangu.
kama mtu umeishi katika ulimwengu zote mbili (ulikuwa masikini uka struggle then ukawa tajiri au ulianzia kwenye utajiri ukaporomoka ukawa masikini) hapo ndio utaona pesa ni nini

ila kwa mtu aliye na maisha ya chini au ya kawaida na ameridhika nayo au amezaliwa tajiri na anakuwa tajiri hadi kufa, hatakuwa na experience juu ya kuwa au kutokuwa na pesa

ni kama mtu yupo bondeni anataka afike juu, atasota sana na kukutana na experience mbaya, au aliyekuwa juu akaporomoka hadi chini hapo ndio anajua tofauti ya kuwa juu na chini na challenge za kutoka chini kwenda juu
 
Wanawake wa siku hizi wanapenda hela. Kwahiyo wamefanya wanaume wazoee kuwa-treat hivyo. Kama.wewe hauko hivyo basi wabawake wenzako karibu wote wako hivo. Kwahiyo imekuwa kama utamaduni.
 
na nyie w'wake mnahusika ktk upungufu wa nguvu za kiume unapompikia mwanaume chipsi unategemea nini? hasa hasa wanawake wa Daslamu

unalishwa ulichokitoa, afu chipsi sio chakula, wanaume wamikoani hawapendi chipsi
 
Wanawake wa siku hizi wanapenda hela. Kwahiyo wamefanya wanaume wazoee kuwa-treat hivyo. Kama.wewe hauko hivyo basi wabawake wenzako karibu wote wako hivo. Kwahiyo imekuwa kama utamaduni.

we hupendi hela???
 
we hupendi hela???
mi hela napenda ila namjibu huyu aliyesema wanaume hawajiamini wanafikiri wakitumia hela ndo watapata mabinti wakati ukweli ndo huo kwamba mabinti hawataki wasiokuwa na hela.Kweli wapo wanawakubali wanaume bila ya hela lakini kwa hali ya sasa hao ni wachache sana ukilinganisha na wanaomkubali mtu kwasababu anazo.
 
brenda18
Inaonyesha una bahati mbaya sana na wanaume,
Most of your posts zinaonyesha hujawahi kumpata mzuri.
But believe me even Choosing a good guy in town requires a great deal of common sense, some women have this some don't.

Pole sana gwakukaja, pole sana gwa kumyitu.
that's how the world is, there are losers and winners.
And it happens you have never been on the winning side.
 
Saa nyingine hiyo hali inachangiwa na low self esteem (inayosababishwa na poverty) kwa upande wetu sisi wanaume, nikupe mfano mzuri mm kuna dada mmoja mrembo sana alinionesha signs za kunitaka kimapenzi ila nlishindwa kum-approach kwa sababu nlijiona kuwa mm sio type yake, nlikuwa navaa nguo za mtumba..jeans mpauko mashati yenyewe nlikuwa nayo matatu, hlf dada mwenyewe ukimwangalia tu alivyo ni type za kina madam ritha (kwa jinsi anavyojiweka) and she looked expensive and beautiful, nikasema mmmh sipo class yake, nikafuta wazo la kumtongoza nikaona bora niwe nae karibu as friends stirctly for chatting, kutokuwa nae kimapenzi nahis kulinipunguzia headaches zisizo na msingi.. brenda18 Heaven Sent Valentina angelita
 
Mtu anadhani akiwa mambo safi ama HB ndio tikect ya kukubaliwa ama kutochomolewa...

Inawezekana ni kweli ila sio wote. Mwanaume kujiamini,njoo wewe kama wewe sio utangulize material things
Acheni mbwe mbwe nyie kina Eva wa Sasa mliojaa ubaguzi wa wa kimaslahi, mkiona minoti mnachanganyikiwa kabisaaaaa!!!, pesa sabuni ya roho bana
 
Saa nyingine hiyo hali inachangiwa na low self esteem (inayosababishwa na poverty) kwa upande wetu sisi wanaume, nikupe mfano mzuri mm kuna dada mmoja mrembo sana alinionesha signs za kunitaka kimapenzi ila nlishindwa kum-approach kwa sababu nlijiona kuwa mm sio type yake, nlikuwa navaa nguo za mtumba..jeans mpauko mashati yenyewe nlikuwa nayo matatu, hlf dada mwenyewe ukimwangalia tu alivyo ni type za kina madam ritha (kwa jinsi anavyojiweka) and she looked expensive and beautiful, nikasema mmmh sipo class yake, nikafuta wazo la kumtongoza nikaona bora niwe nae karibu as friends stirctly for chatting, kutokuwa nae kimapenzi nahis kulinipunguzia headaches zisizo na msingi.. brenda18 Heaven Sent Valentina angelita
Unaona sasa,ukapoteza bahati hivi hivi maskini ya mweeh!

Bora ungejaribu kuliko kukata tamaa kabisa
 
Uliskia wapi 'manati ya mjapan' ikamkosa mwanamke? Labda huyo jamaa hakuvuta trigger hadi mwisho!

But on a serious note: A man is a man, and a woman is a woman, if she is gonna get laid she will get laid,come rain come shine,car or no car,money or no money, good in bed or otherwise!

I am a man, if I want you to get laid,you will get laid,end of story!
 
Back
Top Bottom