habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,752
- Thread starter
- #21
honey nikisahau kukunyowa nitakumbuka nini tena
Bora ukamnyoe maana dah! hata kula muhogo kuna kuwa tabu
shamba linakuwa halijapapaliliwa
honey nikisahau kukunyowa nitakumbuka nini tena
Ombi laweza kukubaliwa au kukataliwa.............
ila bora umewaambia I hope watajirekebisha wanapoweza
Bora ukamnyoe maana dah! hata kula muhogo kuna kuwa tabu
shamba linakuwa halijapapaliliwa
tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa misimo
huyo palizi kila weekend........
Ombi laweza kukubaliwa au kukataliwa.............
ila bora umewaambia I hope watajirekebisha wanapoweza
Mavuzi ndio uanamume wenyewe huo...utanyoaje kipara kama papuchi..?....lazima mbuyu upate sapoti ya kichaka....
Mkuu wiki ni siku saba, maswala ya kubadilisha mara 4 ni ujinga..
Boxer inabadilishwa kila siku, tena ikiwezekana hata kwa wiki moja zivaliwe zaidi ya saba, angalau 10..
Bora ukamnyoe maana dah! hata kula muhogo kuna kuwa tabu
shamba linakuwa halijapapaliliwa
Pole kwa yaliyokukuta.
honey nikisahau kukunyowa nitakumbuka nini tena
Haina noma mimi binadamu kuitwa debe since even your name explains t all.kwa hiyo utakua unakaa tu nyumbani kusubiri muda wa kubadilisha boxer? ww kweri debe tupu
NImefanya upekuzi mkuu wanaume wengi ni wavivu wa kunyoa kunako sehemu za sirini, utamkuta nje kaulamba ndani km katani vile