INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,266
jamani labda system ya ujamaa na kujitegema haikuwa friendly na vijana wawakati huo,je tumejaribu kupima haya mawili kwa wakati mmoja?maana mie mzee wangu nakumbuka aliwahi nambia ilifika kipindi huwezi kunywa beer zaidi ya mbili,bati mpaka zinatoka kwa idadi tena hutakiwi kuzidi kiwango ulichopangiwa,sukari,vitenge,betri,kibiriti,simenti vyote kwa idadi fulani kulingana na wahitaji na tena vitu kama bati linaweza kutoka mwaka hadi mwaka.....Tupime hapa huenda walishindwa kwa style hii