Ngumu kumeza
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 577
- 354
Hamchelewi kubadilisha maamuzi ndio maana tunafanya hivyo.Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
