Wanaume na haraka ya ngono

Wanaume na haraka ya ngono

Habari zenu waungwana,

Nina swali moja leo kwa wanaume;

Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi?

Karibuni kwenye mada
Acha roho mbaya mkuu

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Mimi hutongoza nikiwa na genye,,, so kukuomba ishu usinishangae maana nilikutafuta ili nipunguze mzigo.


Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 
Kama unataka muda upitepite mzungushezungushe kwenye kukubali, ila ukishakubali tayari umemaliza na uko tayari kwa yote
 
Habari zenu waungwana,

Nina swali moja leo kwa wanaume;

Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi?

Karibuni kwenye mada
Iko hivi.. Perfect practices make Perfect... Au kwa lugha lain repitition makes Perfect... Au the more you do the expert you become... Yaani ukifanya mara nyingi na kwa watu tofauti unakuwa profecional au expert kwa hayo makitu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kutongoza maanake ninn?na ulikubali nn?kwahiyo nisubiri ninin?nanikiombalini utakua muda muafaka?muda huo utakua muafaka kwa mujibu wanan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom