Wanaume na haraka ya ngono

Wanaume na haraka ya ngono

Dah kumbe na ww unayo maswali kama yangu

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Hahaha ni lazma kujua una deal na mtu wa aina gani..

Sent from my VF695 using JamiiForums mobile app
 
huwa tunakuwa na hisia tu za kimapenz haswa kilekilichofanya nikutongoze huwa tunakitaman kukiona,kukishika,na kukitumia mfano chura,hips,lips,sura chuchu nikiviona ntafrah na ntashangilia ushind thn ndio ntakuwanimekumilik hata ukinikimbia nabak kuwa mshind nmeshakupitia

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Ndoicho nilichokutongozea

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Tupime oil kwanza banaaahhh

Sent from my SM-G950FD using JamiiForums mobile app
 
Waje wajieleze leo wanaume mmezidi

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Yan mgombea kashinda urais hutaki aingie ikulu

Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 
Kwan ulitongozwa kwa ajili ya nn? Kama ni ishu huwa inajulikana na kama ni maswala ya kuoana huwa inajulikana.

Sasa kama ni ishu unataka asubir nn hapo

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Hizi mada za kale kamchezo katamu zinapata wachangiaji wengi balaa...

BACK 2 THE TOPIC...Dada ee ndio nature yetu kiumeni tulivyo
 
Kwahiyo siku hizi hakuna ndoa bila kuonjana?
 
Mbona grls kwenye kuomba hela wala hawana subira.... twende sawa. Kula mzigo fasta.

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Mbona grls kwenye kuomba hela wala hawana subira.... twende sawa. Kula mzigo fasta.

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Huwa wanaomba kwa sababu huwa hamuoneshi future sasa wanajua unaweza ukapitiwa pitiwa hivi hivi bora nipate ya kununulia hata yeboyebo (viatu)
 
Huwa wanaomba kwa sababu huwa hamuoneshi future sasa wanajuajua unaweza ukapitiwa pitiwa hivi hivi bora nipate ya kununu yeboyebo (viatu)
Hahahahaha... kwa hyo hapo ni kuliana timing... maana boy ukicheza utapigwa hela na mzgo haupati wanakula wengine..... kwahyo lazima ung'ang'ane fasta fasta mengine baadae . Jokes.

Kitaalam

YAWEZEKANA MWANAMKE USILIAMINI HILI LAKINI WANAUME NAJUA WATACHEKA MAANA NAJUA NITAKUWA NIMEWAGUSA:

1. Mwanaume anajihakikishia kuwa mwanamke ni wake pale anapolala nane.. na hapo ndipo confidence ya kuwa nae inapoanzia.
Jaribu kufanya utafiti mdogo tuu kwa mwanaume ambae ana grl ambae hajakula mzigo mara nyingi hawana confidence na grl wake tofauti na mwanaume ambae amepiga mzgo.

2. Mwanamke anakuwa na confidence ya kudumu na mwanaume endapo mzgo wake haujaliwa... na anahisi hawezi kuumizwa na chochote pindi watakapoachana maana anaamini thamani yake ipo juu.

3. Kutokana na mazoea ya mwanaume kudharaulika endapo anaonekana yupo mwanamke ambae hajapiga hilo upelekea mwanaume kuhitaji mzigo fasta ili kuepuka dharau hzo.

4. Wasiwasi wa mwanaume kwamba yawezekana akawa anahudumia tuu wenzake wanakula mzigo ili kuondoa wacwac huo basi analazimika kutaka mzigo mapema sanaa kabla jogoo hajawika.


Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Hata hujala vijipesa vyake angalau haaaaa

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
We sema Tu nikupe siku ngap? Unipe Kitumbua ila na Nyie pia munatutongoza

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom