Wanaume na haraka ya ngono

Wanaume na haraka ya ngono

Uwa wanajarbu kama wewe ni mwepec kumpa au utamsumbua

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kwani tunawatongoza ili tuwe kaka na dada? We nipe tu haijarishi nimekutongoza lini maana kugegeda ndo sababu kuu ya kutongozana
 
Ukitaka mdada ashindwe kukuelewa, we mwambie tu kuwa "I'll be ready when you're" yaani "siku ukijisikia tayari kimwili na kihisia, nami nitakuwa tayari"
 
Sasa kwani tunawatongoza ili tuwe kaka na dada? We nipe tu haijarishi nimekutongoza lini maana kugegeda ndo sababu kuu ya kutongozana
Ujue mwanamke usipomharakishia mgegedo anajua umempenda kwa dha
 
Ujue mwanamke usipomharakishia mgegedo anajua umempenda kwa dha

Kwa wastan mwanaume asie mlokole anaweza kukusubiri kwa mwezi hadi mitatu. Zaidi ya hapo huko ni kumtesa tu na uzuri ni kwamba hata dem mwenyewe vitakuwa vimeshamuwasha.
 
Ukitaka mdada ashindwe kukuelewa, we mwambie tu kuwa "I'll be ready when you're" yaani "siku ukijisikia tayari kimwili na kihisia, nami nitakuwa tayari"
Kivipi mkuu?
 
Kwa wastan mwanaume asie mlokole anaweza kukusubiri kwa mwezi hadi mitatu. Zaidi ya hapo huko ni kumtesa tu na uzuri ni kwamba hata dem mwenyewe vitakuwa vimeshamuwasha.
Sasa Angalau huyo kasubiri miezi mitatu sasa wanaume wa dotcom anataka kanitongoza jibu apate ndani ya siku tatu na mgegedo kabisa uwe tayari
 
Mkuu kwenye mahusiano usipoweka mipaka fulan utatumika tuuu the world is full of monsters

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke mmoja alisikika akisema ningekuwa mwanaume ningewalala dada za waru mpk wakome...na mwanaume mmoja akasimika anasema ningekuwa mwanamke mimi ningekuwa na bikra mpaka saivi...kama unaweza tegua fumbo hilo hili unaweza kujua what it takes kuwa dume..

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwenye mahusiano usipoweka mipaka fulan utatumika tuuu the world is full of monsters

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Kweli utatumika kama ndala za bafuni
 
Ni mwanamke mwenye bikira pekee ndiye naweza msubilia hata mwaka mzima bila mgegedo

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Wanaume tunaongozwa na tamaa kwanza then hisia badae ndio maana mwanaume mmoja anaweza kugegeda wanawake wote wa jf...but mwanamke hawez kugegedwa na wanaume wote wa jf..

Sent from my TECNO_N9 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom