Wanaume na haraka ya ngono

Wanaume na haraka ya ngono

Kiukweli kwa hii mambo mambo ya kuombwa huwezi kuepuka.
Ila wanawaume tunapishana kasoro mm tu. Mm baada ya miaka 2 kupita ndiyo nikaomba.
Ukitaka kukorofishana na mwanaume mbanie nanilihii tu.
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada

tabia hiyo huwa nimeipachika jina Trojan Horse yaani ndani ya maneno aliyokuambia yakakuingia akilini mwako ndani yake yamebeba dhamira halisi.....ushafahamu tiyari real intention sasa akili yako kichwani. Mm Mwanaume lakini The Gentleman anaheshimu procedure zote za wewe kuwa ubavu wake, the boy he gonna touch you and leave you with Trauma "Kila mwanaume Muongo"
 
Kwani kumpa siku hiyo hiyo na kuchelewa kumpa inabadilisha kipi hasa? Kama nia yake ni kupiga chata hata ukimcheleweshea simulation ukimpa atapiga afu atasepa zake

Sent from my HTC_M910x using JamiiForums mobile app
Mkuu hata angekuwa mzuri kiasi. Nitongoze leo halafu unipe au useme unakuja home kulala. Ha ha ha nitakuwa namashaka na uanamke wake.
Nakumbuka kuna binti baada ya kupiga verse akaniambie niende room kwako kwasbb roommates wake walikuwa wameenda class. Duh niliogopa ila baadae alihairisha. Nilishukuru
 
Wanawake hususan wa kitanzania n watu wa kusukumwa sukumwa yan anaweza kukubalia ..lakini km ukiwa sio mtu wa kuforce unaweza ukajikuta mwaka umeisha hujala mzigo yan hawaelewek kuwa wana pretend au vp yan ukimualika gheto au guest unaeza shangaa et anajifanya hajui kinachoendelea na huko ku pretend kwao na usumbufu wao ndo vinasababisha kuliwa na kuachwa maana tunachoka na usumbufu wenu.. hamuelewek

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Ukishakubali ndo mapngo mzima ilikujitengenezea mazingira mazur ukizingua ndo ivyo tunaenda pengne

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Kwanza nikuulize we ni ME au ni KE?!

Sent from my VF695 using JamiiForums mobile app
Dah kumbe na ww unayo maswali kama yangu

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada

Nahisi ' umetongozwa ' siku za karibuni na kuombwa ' Mbunye ' ndiyo maana umeamua kuja ' Kuzoza / Kupayuka / Kupiga Kelele ' humu JF. Pole sana ila jua tu ya kwamba ' Mfumo ' mzima wa ' Utongozaji ' wa Sisi ' Wanaume ' wa siku hizi umekuwa ' updated ' ambapo tukikutongoza tu jua hapo hapo tunataka ' tukabanduane '.
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Mpe tuuh..! Yaani ningekuwa mimi nimekuomba afu unaitangaza ugenitambua aisei..!
 
Kwann nyie mnakimbilia kuomba hela??

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Sasa bibie mbona nyie mnakuwaga na haraka ya kuomba pesa sisi hatulalamiki!?

Sikiliza Toka Kwangu!
 
Labda huwa unajinadi sana kuwa upo vizuri
Wala sijawahi kujinadi maana najua siwezi kuhimili mikiki mikiki ya mizinga lakini wanakomalia mpaka naamua kupotezea na wanakimbia
 
Tatizo lenu nyie ni staki-nataka! Ukivuliwa kabla pichu haijafika kwenye goti, unaipandisha, ila ikifika chini ya magoti unaimalizia kuivua kwa nyayo za miguu huku ukisema mi staki, hatimaye unagegedwa.

Sent from my TECNO M3 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Raha ya mapenzi kupeana tendo, ushaambiwa ukitaka cha uvunguni sharti .......!!!

Sasa unataka nisubirie nn kwa mfano?? Kama Tigo Jaza ujazwe na ww usiniombe pesa sasa kama ndo hvyo

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
mi nawaambiaga hata nisubiri mwaka au unipe hapohapo mapenzi kwako yatabaki hayohayo...haya nipe sasa nimlizishe kichwa kidogo bebe....hawachomokiiiii
 
Back
Top Bottom