Wanaume na haraka ya ngono

Wanaume na haraka ya ngono

Yani mtu amekuomba umekubali, alafuunataka aanzekuzunguka???.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app

kwahiyo kutongozwa kumbe ni kuombwa sex sio kwamba umependwa?
 
Wachache sana inateinatemea na malez siiwanawake wote ombaomba
Unaweza kukaa mwaka mzima bila kutuomba pesa? ? Hii litakuwa ni ajabu la 8 tuingize kwenye Gunness book of the world

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada


Binafsi sina tatizo na kusubiri, ila shida yangu kwa Mademu ni pale ambapo anaponizungusha wakati najua kabisa kuna jamaa alikuwa anakula, sasa kwa nini yeye ampe halafu mimi anizungushe? Hapo ndipo shida yangu ilipo, kama demu angekuwa hagongwi hapo sina shida ya kusubiri au hata kusumbuliwa lkn kusumbuliwa na demu ambaye najua fika kuna jamaa anakula hapo kwangu ni pagumu, nashindwa kuelewa!
 
Kama hutaki kuombwa kataa tu hiyo ni dawa tosha usikubali kama hutaki kutoa

 
Dah... Kama kumpa namba ya simu tu umempiga Mzinga... What do you expect?

Sent from my Osborne II using JamiiForums Mobile App
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada

nakuahidi mimi nina subira balaa, nilishawahi kumsubiri mtu mwaka mmoja!
 
Back
Top Bottom