lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,607
- 2,062
Mkishakuwa wapenzi , kinachofuata ni kukutana faragha maana mtakayozungumza hayawahusu watu wengine maana yanakuwa ya aibu kwa wengine.Habari zenu waungwana,
Nina swali moja leo kwa wanaume;
Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi?
Karibuni kwenye mada
Sasa nyingi si wakubwa na faragha umeenda nn tena acha utoto