Wanaume na haraka ya ngono

Wanaume na haraka ya ngono

Inatongozwa sio kwa kuangalia sura Bali ni kwaajili ya papuchi.
Ssasa ukiikatalia papuchi utasuguliwa na baba yako?
 
Kama dada ninao wakutosha kwenye ukoo wakupiga nao story... One thing siwez pata toka kwao sex.. Sasa nije kwako tena Nianze story zanin... Unatoa hutoi... Full stop
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Tatizo ni ke; siyo me kwanini akubali kuonesha ishara ya kukubali?

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Yani mwanaume akikubaliwa tu siku hiyohiyo anataka issue
Unakuwa umemkunalia kufanya nini na kwa nini ukubali halafu uzingie. Mi huwa nakimbia nikiona kidemu kinakubali halafu kinaanza sound mara kanaanza kupiga vibomu kibao ksa kukupima... toa mzigo ukishakubali acha mbwembwe


Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Wala sijaona kesi bado hapa blaa blaa tuu
Unajua sababu iliyonifanya kusema hii ni kesi lakini ??

Anyway wengi wao ndoivo mamaa kati ya kumi labda mmoja ndo unakuta mvumilivu other wise.... Wanaona kama tunazingua. Ukubali ukatae zama zimebadilika

Kwa baadhi yao Ukizubaa unaeza poteza bahati hivihivi

Wengine pia unaeza ingia choo cha kiume

Hapo sasa..!



Cc Smart911
 
mleta maada bwana sasa ulitaka uombwe nini? hela au?
 
Unajua sababu iliyonifanya kusema hii ni kesi???

Anyway wengi wao ndoivo mamaa kati ya kumi labda mmoja ndo unakuta mvumilivu other wise.... Wanaona kama tunazingua. Ukubali ukatae zama zimebadilika

Cc Smart911
Kuna tatizo kiukweli wanaume tunalalamikia wanawake na wanawake wanalalamikia wanaume sasa sijui nini kifanyike Mkuu maana ni janga siku hizi hakuna ndoa kilichobaki ni kufichiana aibu ndo pale wanaoshindwa wanakimbizana hivyo ndio inatokea watu wanawaza mapenzi tu
 
Back
Top Bottom