Wanaume MMU tunakera sana

Wanaume MMU tunakera sana

Mwana kweli umeamua kutoa makavu laivu kabisa yanibora umenisaidia hapa
halafu mjue mwanamke mjanja haangalii una kazi nzuri,nyumba au gari bali anaangalia kama una akili za maisha hata kama huna unaweza kutafuta sasa nyie wenzangu na mimi mnajiproud mnaishia kupigwa mizinga na kuja kulialia humu.
 
Mkuu Molembe ngoja mods wagawe majukwaa siasa wawe wanaume na MMU kina dada.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hata mimi nilikuwa najua kuwa Tanzania hamna tatizo la ajira kulingana na comment humu mpaka pale nilipojionea uwanja wa Taifa nikashangaa.

kumbe ulikuwepo uwanja wa taifa??mbona sikukuona?
 
JF ni kila kitu..elimu, habari, urafiki, burudani, matusi, ugomvi etc. Lakini mbona gari ni kitu cha kawaida sana karne hii,, siamin ndo kinachomtoa povu mtoa mada,, ni tafsiri hasi kuwa unaringishiwa, sasa kama mtu anadrive adanganye kuwa amepanda mkokoteni mradi tu molembe asimtafsiri vibaya!?!
 
Hahhaha..unajua humu kila mtu ana maisha yake na hatujuani. .ss mtu anaposema ukweli watu wanaona anajikweza

Watu wana stress zao wanataka wote muwe makapuku ndio wanafurahi,,,ha ha ha ha halafu ndio hao hao kuja humu na kusifia msanii gani anaendesha gari ya kifahari sijui nyumba yake nzuri.
 
JF ni kila kitu..elimu, habari, urafiki, burudani, matusi, ugomvi etc. Lakini mbona gari ni kitu cha kawaida sana karne hii,, siamin ndo kinachomtoa povu mtoa mada,, ni tafsiri hasi kuwa unaringishiwa, sasa kama mtu anadrive adanganye kuwa amepanda mkokoteni mradi tu molembe asimtafsiri vibaya!?!

Kama nilivyosema watu wana Stress zao humu hadi uonekane unagombea daladala la mbezi au mtongonani ndio anaona sawa. Miaka hii magari kibao ya mkopo ndio usiseme bora angesema mtu kajisifia ana Chopa yake kama Ndesamburo kweli lakini gari? UMASKINI KITU KIBAYA SANA KWAKWELI.
 
"Love the life you live,,,Live the life you Love"-Bob Marley

Lakini sio kwakugopa eti kisa A ni kapuku ndio mimi B niogope kusema halafu ndio maana tunarogana waAfrika badala na wewe ukomae u Push gari kali uwe na nyumba kali.
 
Kama nilivyosema watu wana Stress zao humu hadi uonekane unagombea daladala la mbezi au mtongonani ndio anaona sawa. Miaka hii magari kibao ya mkopo ndio usiseme bora angesema mtu kajisifia ana Chopa yake kama Ndesamburo kweli lakini gari? UMASKINI KITU KIBAYA SANA KWAKWELI.

Wewe umeona la gari tu.
 
Watu wana stress zao wanataka wote muwe makapuku ndio wanafurahi,,,ha ha ha ha halafu ndio hao hao kuja humu na kusifia msanii gani anaendesha gari ya kifahari sijui nyumba yake nzuri.

Tena kwa kupenda kuwachunguza life ya wenzao baada ya kutafuta njia ya kujikwamua kiuchumi
 
halafu hayo masuala ya kujiproud
ooh mara nilikuwa ofsini mara
nadrive gari niko safarini kikazi.
Hayatuhusu sisi it is your personal
issue wakati mwingine unajiuliza
hivi wale vijana ambao hawana
kazi hawaingii humu maana humu
kila mtu ana ofsi ana nyumba
anadrive.))))))))))

pamenikosha sana hapo ni shiiida kuna uzi wa muda kidogo kuna mdada aliongelea kuhusu tabia za humu ndan yan kila mtu yupo juu ni shiiiiiiiiidaaaaaa
 
JF ni kila kitu..elimu, habari, urafiki, burudani, matusi, ugomvi etc. Lakini mbona gari ni kitu cha kawaida sana karne hii,, siamin ndo kinachomtoa povu mtoa mada,, ni tafsiri hasi kuwa unaringishiwa, sasa kama mtu anadrive adanganye kuwa amepanda mkokoteni mradi tu molembe asimtafsiri vibaya!?!

gari ni kama kiatu tu dunia ya leo kutaja sio tatzo
 
Lingine mjue ile tabia ya kutongoza
tongoza pm ni ushamba maana
utatongoza vipi mtu humjui si bora
umuombe mkutane umthaminishe
ndo umtongoze, $$$$$$$$$%

clases ziko humu ndan had zinakera wengi wanakerwa na jinsi mambo yanavyoenda humu sema wanakausha. jaman tupunguze dharau (najua hatuwezi kuacha) ...........
 
Back
Top Bottom