Wanaume MMU tunakera sana

Wanaume MMU tunakera sana

Heri yangu nakaa #uswazi na hua nasemaga hapa

Na jirani yangu ni Mtambuzi

Mnaweza kudhani ni masikhara kumbe ni kweli

Tena kweli ambayo haijavaa nguo ....!!
 
Last edited by a moderator:
Yani kila nikijitahidi kuwaelewa wachangia mada vwaelew mjui mnaongea tuuu cwaelew kiukweli ila mtoa mada kakerwa n jambo hilo afu watu mnaongeea... yy ndo kashasema kua inamkera kma vp muache co mnaponda ..
 
Niko na drive kueleke maskani nikifika nitachangia kwani natarajia niwashe jenereta ili nicharge ipad yangu-Tanesco wameshachukua umeme wao na ni ngumu sana kuishi kwenye jumba kama hili bila umeme

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Niko na drive kueleke maskani nikifika nitachangia kwani natarajia niwashe jenereta ili nicharge ipad yangu-Tanesco wameshachukua umeme wao na ni ngumu sana kuishi kwenye jumba kama hili bila umeme

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Hehehee kama nakuona vile nakati ya tandale kwa tumbo...umeingia mchobngo n tecno yako unasaka network afu porojo nyiiiiingi......heheheeeeeeeeeee uwiiiii
 
Heheheee ukijipandisha juu kama povu la bia, tutakunyausha kama mwamvuli wa tigopesa hahahaaa ishi maisha yako ya uhalicia hamna wakukubuguz mjini mipango tuu...waweza kua na iphne ucpigiwe...waweza kua n jumba uctembelewe ...ishi ulivo tuu , komaa na maisha yako.hamna atakaekuuliza .unaonekana feki!
 
sasa watajulikanaje kama wana magari au hujui kuna makabila tofauti humu kama hupendi usisome mtu anachangia kitu anachokitaka sasa kama kuna mada ya kike si ingevalishwa bikini hii ni jamii unafanya unachojisikia bila kuvunja masharti
huwezi kupeleka watu wote kama unamlazimisha mkeo tabia haibadiliki mtu aliyezoea kujisifia atajisifia hata kama yupo kwenye msiba hakuna dhambi ya kujisifia kama mwanaume unasomaje post za kike ? au kuna jukwaa kwa ajili ya wanawake ?
kama mtu havunji sheria aachwe
umemsoma vzr aliyetowa uzi..?!
 
humu ipo siku kutatokea ugomvi, watu wanatambiana, wacha si tunaopanda daladala tuwe watazamaji, tumeshazoea kugombania usafiri, siku nikifika hamna abiria wengi nasubiria mpaka tuwe wengi haina ya me/ke wote tunapambana raha sana, hapo mkipanda tunatongozana basi majibu yake raha sana.
 
acheni tujifariji tu. kwani mtu akisema anadrive unahisi anakudanganya ww au anajidanganya mwenyeww? humjui hakujui. unadanganyikaje?
 
Heri yangu nakaa #uswazi na hua nasemaga hapa

Na jirani yangu ni Mtambuzi

Mnaweza kudhani ni masikhara kumbe ni kweli

Tena kweli ambayo haijavaa nguo ....!!

wabongo bana. kwahiyo mtu akisema anaishi uswazi kwwnye nyumba ya kupanga ndio anaonekana anaishi.maisha yake ya uhalisia!!!! hapa naona utakuwa umemfurahisha mtoa mada.
 
Last edited by a moderator:
Twatofautiana hulka,tabia na kila kitu.

Ukichukiacho mimi nakipenda na kinyume chake pia.

Ukiona vinakukera hamia uzi mwingine,hulazimishwi kufanya jambo na wala watu hawafanyi mambo ili wawafurahushe wengine bali nafsi zao.

Usipende kujumuisha eti "tunakera" sema unakerwa,bse mimi sikerwi,huwa napuuza na kuendelea na nyuzi nitakazo.

Nakerwa sana na nyinyi mjifanyao mnataka kurekebisha tabia za watu msiowafahamu...jirekebishe pia. Molembe
 
Last edited by a moderator:
Twatofautiana hulka,tabia na kila kitu.

Ukichukiacho mimi nakipenda na kinyume chake pia.

Ukiona vinakukera hamia uzi mwingine,hulazimishwi kufanya jambo na wala watu hawafanyi mambo ili wawafurahushe wengine bali nafsi zao.

Usipende kujumuisha eti "tunakera" sema unakerwa,bse mimi sikerwi,huwa napuuza na kuendelea na nyuzi nitakazo.

Nakerwa sana na nyinyi mjifanyao mnataka kurekebisha tabia za watu msiowafahamu...jirekebishe pia. Molembe

kilio toka gizani.
 
Last edited by a moderator:
Yani jinsi unavyonisumbua PM, kuna siku nakujia na thread yako, tena nakutaja jina
haa haa haa subutu ntamwambia Asprin ahamishe kikojolea chako kutoka kilipo sasa hadi kikae kwenye paji la usoo
 
Last edited by a moderator:
haa haa haa subutu ntamwambia Asprin ahamishe kikojolea chako kutoka kilipo sasa hadi kikae kwenye paji la usoo

Naku
BrAVFW-CAAERYkX.jpg


Hakyanani vile
 
Back
Top Bottom