Mada yako ni so intersting mkuu, u had me park my car by the road side niisome vyema..anyway, how are you!
Ngoja niingie hapa steers nisome na comments za wengine...
Ok 10minutes please nimalizie wyne yangu nakutumia....
sasa watajulikanaje kama wana magari au hujui kuna makabila tofauti humu kama hupendi usisome mtu anachangia kitu anachokitaka sasa kama kuna mada ya kike si ingevalishwa bikini hii ni jamii unafanya unachojisikia bila kuvunja masharti
huwezi kupeleka watu wote kama unamlazimisha mkeo tabia haibadiliki mtu aliyezoea kujisifia atajisifia hata kama yupo kwenye msiba hakuna dhambi ya kujisifia kama mwanaume unasomaje post za kike ? au kuna jukwaa kwa ajili ya wanawake ?
kama mtu havunji sheria aachwe
Unaelewa nini ukisikia neno kutongozwa? Au kwa mtazamo wako ulichoelewa mrejesho wake ni matusi na sio kujibu hoja?Dadangu sijawahi kutongozwa wanawake wa humu(ukiwemo wewe) mnaangalia wenye magari na ofsi nzuri sasa mimi sina.
mwanamke huna ofsi huna kazi umejenga?hapana.
Huyo amechanganyikiwa atakutukana sasa hivi....Umeandka Vzur Inapendeza Kuitwa Mwanamke Mwema Kwailk
Umeona bandiko lake lilivyokaa tenge...Unataka umtongoze mwanaume mwenzio?:hungry:
Mkuu huyu mtu sijui tumuweke kundi gani?Tuanze na. wewe Molembe ni mara ngapi umekuja hapa jukwaani ukilalamika sana?
tena na kuonyesha chuki ya waziwazi ulionao juu ya wadada.
sijui uwekwe kundi gani, huna tofauti na mtu anaekata tawi alilolikalia...
Hata mimi nilihudhuria maonesho ya wiki ya utumishi nimepewa t-shirt 4 mpya 100% cotton800 ya nini wakati za bure zipo? za tbl, tigo, voda, airtel na ccm.
Mada yako ni so intersting mkuu, u had me park my car by the road side niisome vyema..anyway, how are you!
Ngoja niingie hapa steers nisome na comments za wengine...
Jana kuna mtu kasema amenunua mkanda wa 60,000! oh mara mwngine tisheti yangu ya 45,000 inachuja kwani nimefua mara moja tu!!
ama kweli leo ni Msutano day
Hata mimi nilihudhuria maonesho ya wiki ya utumishi nimepewa t-shirt 4 mpya 100% cotton