Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,198
kwani unakunywa wine gani? naomba na mimi
Ile ya blue, chupa nimeitupa jina limenitoka kidogo ngoja nichek chupa zingine kwenye friji yangu ntakuambia
kwani unakunywa wine gani? naomba na mimi
Tena kwa kupenda kuwachunguza life ya wenzao baada ya kutafuta njia ya kujikwamua kiuchumi
Zote hizo ni stree pia za umaskini.
Haina shida tutumie Murrano au Xtrail?
ila next week naenda Marekani mara moja ntarudi baada ya siku nne
Ile ya blue, chupa nimeitupa jina limenitoka kidogo ngoja nichek chupa zingine kwenye friji yangu ntakuambia
Marekani ya sinza au ya buguruniii!!!???
oooh sorry sinywagi coka mieTuambieee jinaaa hahhhjha unaonekana mgeni wa wyne si useme tu ni coka kola umemimina kwenye glas ya wyne
Usihofu tukionana nitakupa moja kama ile alikua amevaa Mh. George Mkuchika siku anafunga maonesho...
happy msuto day macho na masikio yako tuhappy msuto day lol!! yangu maskio tu!!
Nikifika Airport ntakutumia picha ndo ujue nipo USA kwa Godbless Lema au USA kwa Obama
Hayas mamaaa upo juu kamaaa..
....
...
oooh sorry sinywagi coka mie
Mmmmm bas fanta
Mwaga ma points basi, mie bado naona nyota nyota, kwanza nimeshindwa elewa huyo mtoa mada anajuaje kuna matongozo huko PM kama hafanyi, mwanzo nilidhani ni KE lakini labda anakumbana na tongozo nyingi za ME, ila naona kama ni ME ila bado nimechanganyikiwa.Kuna kitu cha msingi sana najifunza kwenye uzi huu. Aisee!
Mmmmm bas fanta
Mwenzangu hizo na drive,nipo safarini ulaya hata mm znanikera coz wengne hata posta hatupajui vzur inaboaje....
I like power malt ile ya Denmark ndo huwa naidrink mara nyingi nikiwa nadrive
au nikiwa ofisini kwangu
Hahhhhhahhhhaaaa yaan unaniuaa mbavu hiv zile nko nko zako unaninunuliaga wapii! !??
Ndo maana nimesema naenda marekani, naenda kufanya shopping mamy