Umenifurahisha sana na jibu lako.....ukisikia paaaa, ujue......usijali mkuu hapa tunauza chai tu, dont take it serious.Sihusiki kwa hayo otherwise ni umbea ambao ni kawaida yenu.
msuto unaendelea njoo huku ICHANA ,https://www.jamiiforums.com/member.php?u=10703Dinazarde kumekucha leo...
Leo kaz kwelkweli aisee.......
Kuna mwingine ameleta uzi kwamba madem wa jf wana mkera kwa kufuatilia maisha yake..!!
Mwenzangu hizo na drive,nipo safarini ulaya hata mm znanikera coz wengne hata posta hatupajui vzur inaboaje....
Rudia kusoma maana naona umekurupuka.
Sirudii!Mada yako inakera na ni ya kibaguzi
Sirudii!Mada yako inakera na ni ya kibaguzi
leo MMU ni hatari ukifungua uzi wa Mom Fay aliodedicate kwa lara1unajiliwaza kidogo,ukirudi huku
makavu live lol!! haya Valentine njoo huku nako kuna shangwe.
Jana kuna mtu kasema amenunua mkanda wa 60,000! oh mara mwngine tisheti yangu ya 45,000 inachuja kwani nimefua mara moja tu!!
Mi nilinunua ya 2000 nzima na haitoi rangiiii dadeekiii
Unanunua tshet 2000?daah wkt za mia nane zipo...
Jana kuna mtu kasema amenunua mkanda wa 60,000! oh mara mwngine tisheti yangu ya 45,000 inachuja kwani nimefua mara moja tu!!
Wenye vyao wanasema basiiiiii sie kapuku kujionyesha kaziii sanaaaaa
Ukiingia humu kama wewe ni mgeni unashindwa kutofautisha nani mtoto nani mwanaume nani mwanamke maana wanaume wanashadadia mambo ya kike sana na tungekuwa tunaonana mngekuwa mnasutwa kila siku.
Mwanamke anaweza kuazisha uzi wenye mlengo wa kike na kaumbea ka kike lakini wanaume wanavyotupia comment unabaki unashangaa
Mwanaume umegombana na kamchepuko kako huko unakuja kutuambia ili tulie au tukuone unajua kutongoza ili tukusifie, halafu hayo masuala ya kujiproud ooh mara nilikuwa ofsini mara nadrive gari niko safarini kikazi.
Hayatuhusu sisi it is your personal issue wakati mwingine unajiuliza hivi wale vijana ambao hawana kazi hawaingii humu maana humu kila mtu ana ofsi ana nyumba anadrive.
Lingine mjue ile tabia ya kutongoza tongoza pm ni ushamba maana utatongoza vipi mtu humjui si bora umuombe mkutane umthaminishe ndo umtongoze, jaribuni kuleta mada ambazo zina kichwa na miguu na zenye kujenga na mjaribu kujitofautisha na ke.