Wanaume MMU tunakera sana

Wanaume MMU tunakera sana

Aah mtajuana wenyewe sisi wengine hatupendelei kuweka nyiuz jukwaa lolote huwa tunatoa tu maoni yetu na kuwaunga mkono wenye akili timamu na ukizingua kama kawaida lazima uni report.
 
Sihusiki kwa hayo otherwise ni umbea ambao ni kawaida yenu.
Umenifurahisha sana na jibu lako.....ukisikia paaaa, ujue......usijali mkuu hapa tunauza chai tu, dont take it serious.
 
Mm huwa nakomenti ti sijali uzi kaweka nani....siku hizi watu wengi wana maisha yanayoridhisha na vijana wanapenda kuonyeshana ufahari waache wafunguke tu
 
Leo kaz kwelkweli aisee.......
Kuna mwingine ameleta uzi kwamba madem wa jf wana mkera kwa kufuatilia maisha yake..!!
 
Umeongea vizuri ila tunaotongozana pm utuwache...
 
Leo kaz kwelkweli aisee.......
Kuna mwingine ameleta uzi kwamba madem wa jf wana mkera kwa kufuatilia maisha yake..!!

Kina Mengi hawafuatiliwi na wana pesaa ye kwa usafi gani afuatiliweeee
 
Mwenzangu hizo na drive,nipo safarini ulaya hata mm znanikera coz wengne hata posta hatupajui vzur inaboaje....

Wenye vyao wanasema basiiiiii sie kapuku kujionyesha kaziii sanaaaaa
 
Jana kuna mtu kasema amenunua mkanda wa 60,000! oh mara mwngine tisheti yangu ya 45,000 inachuja kwani nimefua mara moja tu!!
 
leo MMU ni hatari ukifungua uzi wa Mom Fay aliodedicate kwa lara1unajiliwaza kidogo,ukirudi huku
makavu live lol!! haya Valentine njoo huku nako kuna shangwe.

Haya ndo masnura yenyewe sasa watu washaharibu
.........
 
Jana kuna mtu kasema amenunua mkanda wa 60,000! oh mara mwngine tisheti yangu ya 45,000 inachuja kwani nimefua mara moja tu!!

unajua mkuu kuna watu wana maisha mazuri humu ila hawajiproud kihivyo.
 
Ukiingia humu kama wewe ni mgeni unashindwa kutofautisha nani mtoto nani mwanaume nani mwanamke maana wanaume wanashadadia mambo ya kike sana na tungekuwa tunaonana mngekuwa mnasutwa kila siku.

Mwanamke anaweza kuazisha uzi wenye mlengo wa kike na kaumbea ka kike lakini wanaume wanavyotupia comment unabaki unashangaa

Mwanaume umegombana na kamchepuko kako huko unakuja kutuambia ili tulie au tukuone unajua kutongoza ili tukusifie, halafu hayo masuala ya kujiproud ooh mara nilikuwa ofsini mara nadrive gari niko safarini kikazi.

Hayatuhusu sisi it is your personal issue wakati mwingine unajiuliza hivi wale vijana ambao hawana kazi hawaingii humu maana humu kila mtu ana ofsi ana nyumba anadrive.

Lingine mjue ile tabia ya kutongoza tongoza pm ni ushamba maana utatongoza vipi mtu humjui si bora umuombe mkutane umthaminishe ndo umtongoze, jaribuni kuleta mada ambazo zina kichwa na miguu na zenye kujenga na mjaribu kujitofautisha na ke.

Tungekua na watu wenye uelewa na constructive ideas kama wewe humu jamvini hakika fikra zetu zingekua pana mno,,,,,!!!!
 
Back
Top Bottom