Mtoa mada umetongozwa mara ngapi kwa PM?
Molembe mimi sina gari wala ofisi, nikimaliza kutengeneza banda langu hapa mchikichini naweza kukutongoza kwa PM?
Unataka umtongoze mwanaume mwenzio?:hungry:Molembe mimi sina gari wala ofisi, nikimaliza kutengeneza banda langu hapa mchikichini naweza kukutongoza kwa PM?
Afu nyieee, mniache nimepumzika zangu napata AC hapa rum kwangu
Afu nyieee, mniache nimepumzika zangu napata AC hapa rum kwangu
Jana kuna mtu kasema amenunua mkanda wa 60,000! oh mara mwngine tisheti yangu ya 45,000 inachuja kwani nimefua mara moja tu!!
Maeneo ya Capripoint ufukweni mwa ziwa Victoria....Halafu ofsi yako ipo wapi vileee.......
Leo watu wakalii humuuu
Ok 10minutes please nimalizie wyne yangu nakutumia....naomba picha ya room kwako
Hahhaha..unajua humu kila mtu ana maisha yake na hatujuani. .ss mtu anaposema ukweli watu wanaona anajikweza
Umemsamehe yule jamaa.