Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Mh wanaume hawapendi kuombwa wakati na wao wanaomba. Basi jamani tusiombane kila mtu apambane na hali yake.
 
Kuna mwanamke anampaga mwenzie hela? 😀 Zaidi atamuuliza sasa huyo bwana wako wa kazi gani kama hakupi hela 😁😁😁
Ona sasa..!! Kama anamuuliza kwamba huyo bwanaako wa kazi gani kama hakupi hela, maana yake kuchapwa nao ndo kunafanya apewe hela na vile vile baharia aitwe bwana
 
Atamkijitafutia pesa wenyewe hamta badilika kwasababu ya mfumo dume, wanawake waki Afrika tofauti na Wanawake wakizungu wao wanawake wakizungu hawaingii kwenye mapenzi kwaajiri ya kuhudumiwa ila wanawake waki Afrika wanaingia kwenye mapenzi kuwaajiri ya kupata pesa tu. Utakuta mwanamke anakazi yake lakini bado anaomba omba pesa kwa mpenzi wake,Mimi nikipata mtoto wangu wakike nitamjenga kwenye misingi yakutoomba pesa kwa wanaume.
Hata walioko mashuleni nao utawasikia .. MIMI KUNA MTU ANANISOMEA HUKOO..!!! Yaani kimtu kipo form two eti kinasomewa na mwanaume huko aliko..!!
 
Biashara mnaianzisha nyie
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu.

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka.

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi.

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu.

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
 
Kuwa we kuweza?
Nilishazoea kupambana na hali yangu so wala hainisumbui....
Ila kwa wenzangu wa kike na wa kiume ambao wanaona hawawezi kuhudumia na kwa ke ambao hawajiskii vyema wanapoliwa bila huduma basi kila mtu asiombe cha mwenzake. Case iwe closed until further notice kama asemavyo lemutuz nation
 
.... Men should be providers!.. this is how it has been!

....In evolutionary terms , it served some purposes...

.....Women get pregnant,raise kids and so could not go to hunt..

...Depended on Males for resources ef Food, Water, etc

,...Its just that with education na Maendeleo ya Dunia, industrial revolution etc

...Women became self-reliant!

...otherwise tungekuwa bado enzi zile bado nyinyi ni providers...

...Sielewi kwa nini mnataka ku divert roles zenu....LOL

....Sielewi huu uchungu wa kutoa hela mmeutoa wapi????

..what's happening guys???

..why ? i mean why???



Nilikuwepo...

Wanaume, hii posti yangu muignore tuuu.....LOL
Sisi hatujakataa, ila mzifuate getho
 
Nilishazoea kupambana na hali yangu so wala hainisumbui....
Ila kwa wenzangu wa kike na wa kiume ambao wanaona hawawezi kuhudumia na kwa ke ambao hawajiskii vyema wanapoliwa bila huduma basi kila mtu asiombe cha mwenzake. Case iwe closed until further notice kama asemavyo lemutuz nation
Afu we Nakadori wewee..!!!
 
Kwa hiyo kila mtu anabaki huko aliko ila mimi nitume tu hela..!!! Sasa kinachofanya nitume hela si ni mahusiano tuliyonayo??? We JK alishasema kula uliwe banaaaa
Kwani ni kila ukituma hela ni lazma ule? Jamani si itakuwa kuuziana huko. Na pia sio lazima utoe hela mara tu unapokula tunda la mwenza wako...
Kikubwa ni kutambua kwamba huyu mwenzako anahitaji kujaliwa na tuhuduma tudogo tudogo au tukubwa tukubwa kulingana na uwezo wako
 
Kwani ni kila ukituma hela ni lazma ule? Jamani si itakuwa kuuziana huko. Na pia sio lazima utoe hela mara tu unapokula tunda la mwenza wako...
Unajua pengine hatujaelewana tusichoelewana..!!! Wewe kila ukiwa na shida ya hela mimi nitoe.. Lakini na mimi nikiwa nataka mbususu huji, mara ule nauli.. Sasa unadhani ntatumia njia gani kukunyandua?
 
Unajua pengine hatujaelewana tusichoelewana..!!! Wewe kila ukiwa na shida ya hela mimi nitoe.. Lakini na mimi nikiwa nataka mbususu huji, mara ule nauli.. Sasa unadhani ntatumia njia gani kukunyandua?
Penye maelewano hawezi kuacha kuja...basi ukiona hivyo huyo atakuwa tapeli kwa kigezo cha chiu... na utahudumiaje mtu ambaye sio mpenzi au mtu wako??
Kama mwanamke anakuja kwa kigezo cha kuliwa na kulipwa hapo hapo basi huyo ni mfanyabiashara ya K
 
Back
Top Bottom