Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
Naona leo umeamka na povu mamito. Pole.Anakuja kukuita jikoni uko kati kati ya mapishi kisa haoni socks ya pili na anachelewa huko vaendako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona leo umeamka na povu mamito. Pole.Anakuja kukuita jikoni uko kati kati ya mapishi kisa haoni socks ya pili na anachelewa huko vaendako.
Wapo wa 0754 na wanazo. Halafu mlaji na mliwa wote mafedhuli hamna mwema ukizibua mtaro nawewe harufu itakuhusu.Mnawaza sana hela ndo maana mnaliwa 0713
Delta Force
Huyo ni babaangu Baba Zurie ....amekaa karibu na friji na kabati la vyombo lakini atakuita wewe wa chumbani umuwekee maji ya kunywa. Umemuwekea chai ukasahau kijiko cha kuwekea sukari, anakiona kabatini lakini hawezi kukichukua bali atakuita umletee.
Mkewe akaamua kurahisisha maisha akaweka kikabati kidogo na friji chumbani kwao, yuko kitandani anamuita mama aliye nje aende kumpa juice. Hahahaahah...
hata kuvua nguo uziache chini jaman !hv unashindwa nn kuiweka panapofaa hicho chumba au ni stoo! hapana my dear meng wanazid ! unaogea taulo limeloa unashindwa kutoka nalo ukalianike nje? humo ndan si mnatafta mauvundo jaman !eish hapana !
Unakosea kupanga vitu madam ndo maana anakutuma ili next time ujiongeze. Utaandaaje meza ili ale usahau kuweka maji ya kunawa na chumvi (table salt) halafu wewe uondoke badala ya kula naye au kumliwaza wakati anakula?
Ni mawili, hupendi kuwa karibu naye (lack of love) na kama una nia ya kuendelea naye jifunze kupanga nyumba na umshirikishe. Utimize majukumu yako kama mama kesho mtazaa watoto ujue jinsi ya kusimamamia familia.
Namalizia hivi ukikubali kuolewa usilale na ..........
Hapo kwenye usilale na ...... maana yake ni pana
Nop!. you girls u need to be a little bit flexible kwa wanaume, tunasikia faraja kuona mwanamke anasikiliza maelekezo.hv upo serious? niogope nn LABDA KWA MFANO ! kha! au funga kbs na funguo ondoka nazo mie akuu ! nashine tu
Naona nawu dayisi umekuwa heli sent..!Hivi kwa nini hawaoagi tu house girls in the first place as wao ndo wapo perfect?
MMEZIDI
Katika 1,000 watu kama nyingi ni 10 tuAnaesema sina mke sio kweli ninashirikiana na mke wangu kwa kazi zote. Siangalii makunyanyanzi kua watu wanasemaje. Siwezi kunyoosha miguu huku mke anapika, ni lazima kawe na shughuli ndogo za kumsaidia ili ajisikie kua yupo na mwenzi wake maishani. Eti ninapita kariakoo niogope kununua vitunguu eti kazi ya mwanamke , uende nyumbani baadae mke aende kariakoo na umepitia palepale, ni uchumi gani?? Hakuna kazi ya mwanamke wala mwanaume. Japo hatuna uwezo wa kubeba mimba hayo ni ya Mungu. Tusiwafanye wanawake watumwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Step mother anabusara sanaKama Nina muda mwache tu ntafanya ila nikikosa atajifanyia mwenyewe
Miaka ya nyuma kidogo, Mzee wangu na maza walirudi wote kutoka mihangaikoni midaa ya SAA tano usiku, msosi waliokuta dingi akadai kitunguu hakijaiva na akasusa kula, mama akamwambia hivi "baba Jane unaposusa kula hauwakomoi kina Jane unanikomoa Mimi maana siwez kula bila wewe kula, dingi kimya, maza akaingia jikoni hapo mida ya SAA sita akapika chakula kingine akamtengea Mzee, Mzee akala alipomaliza akajichekelesha na kwenda kulala. Asbh maza anatuadisia kiukweli niliumia ingawa huyu maza ni step maza Ila nilimuhurumia sana
invest what you are willing to lose
Utoto kwenye kubembelezwa na kufanyiwa kazi, ila akichelewa kurudi au atoke bila kuaga mpigie simu umuulize au mwambie kwa nini hivi na hivi. Utajibiwa "usinitreat kama mtoto bana, wewe sio mama yangu". Ngachoka

Na ninyi mabeki 3 mnawafanyia hivo hivo.Nature mbona mkiwa kwenye mageto yenu hamfanyi hivyo !?
Huwa inaboa sana mtu anasimama anavua nguo anaacha hapo hapo.
Taulo kitandani,upo unapika anakuita kamletee glass mara kidogo kaita umtafutie charger,
Hujarudi vizuri anaulizia remote,
Ukikaa ujiandae uepue unaitwa ukawashe ac/feni.
Mpaka ifike jioni unatamani aondoke tu walau upumzike !
Kakaa kuna wanaume ma mwinyi akimaliza kula anaondoka mezani Huku anakutuma uka polish viatu vyakeNaona Sky Eclat anakuja na mada za usawa kwenye ndoa/nyumba.
Usawa duniani hakuna, ukitaka usawa inabidi uishi peke yako.
Utafua, utapika, utaosha vyombo nk. Naweza kufanya hayo at my own will, lakini mwanamke atafanya yote hayo kwa lazima.