xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,133
- 7,352
this is eye opening for me, i never knew this. ThanksKwani lazima uolewe?
Maana kila siku mada zako ni kulalama tu.
Ukiona uko sawa na mmeo basi nawewe oa mke akuhudumie.
Labda kama wewe sio mwanamke, kama wewe ni mwanamke na umeolewa basi ndoa huiwezi maana unalalama sana.
Mada yako nyingine hii hapa ukilalama
Ewe mwanaume, zama zimebadilika, upikiwe? Kwanini wewe hupiki?
Wasichoshe wqtuMadai yao tuwalee kama watoto





Yuko wawili tu kwenye nyumba, umemaliza kunywa chai basi hata kama kuosha vyombo utashindwa niwekee tu kwenye sinki mwenyewe mitaosha lakini hii umwinyi via kuondolewa kila kitu mezzanine unachosha
Nikifua mimi sawa, ila ukifua wewe alafu ukiweka popote nisipoziona nakuita utafute hatakama upo jikoni au wapi.
Naukichelewa nikiitafuta kwashida nikaiona ujue nikitoka sikuagi, nabamiza mlango naondoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati mbaya exactly the same thing nyie wadada na wamama mnawafanyia hivi mabeki 3 wenu.Ni kweli remote ipo hapo karibu yako, nipo jikoni unaniita nikupe remote kama huo sio ulemavu ni nini?
Swali la kipuuzi sana hili! Yaani kila siku nafanya usafi, naweka room safi nikitoka siku 1 ukabaki kitandani unashindwa kunienzi kwa usafi wangu nakuta chumba uwanja wa fisi? Angekuwa hivi sijuo imekuwaje.mmeolewa kweli nyie?
Sasa kamasiioni nimuulize nani, nikimuita house girl aniletee unanikata jicho kama la mbuzi.Ni kweli remote ipo hapo karibu yako, nipo jikoni unaniita nikupe remote kama huo sio ulemavu ni nini?
Umeshaanza uanaharakati.Kuna wanaume wanapenda u-mwinyi bwana, yaani anaamka anaenda kuoga wakati anaoga unatandika kitanda na kuweka mazingira ya chumba vizuri. Unakwenda jikoni kuandaa chai, anatoka bafuni na taulo kiunoni anatafuta atavaa boxer na kama atakumbuka mafuta basi itakuwa kwenye viganja vya mikono. Taulo atakuachia juu ya kitanda si tatizo lake tena.
Mezani umeandaa chai na vitafunio hata kama chumvi haisikiki mfano kwenye mayai atakuita ukamchukulie jikoni hapo ni baada ya kukuita umletee maji ya kunawa na tissue ya kujikaushia.
Yaani ameshindwa kabisa kwenda kunawa jikoni au bafuni au kwenda jikoni kuchukua chumvi. Na akimaliza kula hataondoa hata kijiko mezani anaacha kila kitu pale anakwenda kukaa kwenye sofa anaangalia mpira, kusoma gazeti au anachat kwenye simu. Hiyo ni weekend.
Kabisa kabisa mama, uzungu kwa kweli wavuruga ndoa nyingi Bongo, inasikitisha sana kwa kweli...Hayo mambo tushazoea kwenye ndoa we r Tanzanian hata usomeje mwanamke lazima mumeo umhudumie kila kitu wengi tunafundishwa hvyoo Ni jambo la kawaida pia kwetu ukiona ananuna mke hajafundwa au uzungu mwingi My own brand!!
bamiza salama kwan napungukiwa nn na kuaga kwako haahaahh
duuh, kwelikuna wanawake jeuri duniani, yani nisipokuaga hushtuki?!!!.![]()
![]()
![]()
duuh, kwelikuna wanawake jeuri duniani, yani nisipokuaga hushtuki?!!!.
Nabamiza mlango bhaaaaa, unaniangaliatuuu!!!!?..
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la kipuuzi sana hili! Yaani kila siku nafanya usafi, naweka room safi nikitoka siku 1 ukabaki kitandani unashindwa kunienzi kwa usafi wangu nakuta chumba uwanja wa fisi? Angekuwa hivi sijuo imekuwaje.
Mnawaza sana hela ndo maana mnaliwa 0713Ni 99% watakuambia unataka haki sawa. Umesahau akivua nguo kwenda kuoga anaziacha pale aliposimama tena chini kabisa halafu hana hela hata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wanaume wanapenda u-mwinyi bwana, yaani anaamka anaenda kuoga wakati anaoga unatandika kitanda na kuweka mazingira ya chumba vizuri. Unakwenda jikoni kuandaa chai, anatoka bafuni na taulo kiunoni anatafuta atavaa boxer na kama atakumbuka mafuta basi itakuwa kwenye viganja vya mikono. Taulo atakuachia juu ya kitanda si tatizo lake tena.
Mezani umeandaa chai na vitafunio hata kama chumvi haisikiki mfano kwenye mayai atakuita ukamchukulie jikoni hapo ni baada ya kukuita umletee maji ya kunawa na tissue ya kujikaushia.
Yaani ameshindwa kabisa kwenda kunawa jikoni au bafuni au kwenda jikoni kuchukua chumvi. Na akimaliza kula hataondoa hata kijiko mezani anaacha kila kitu pale anakwenda kukaa kwenye sofa anaangalia mpira, kusoma gazeti au anachat kwenye simu. Hiyo ni weekend.