Wanaume mamwinyi

Wanaume mamwinyi

shida ya wanawake wa leo you are so fine in judging small issues kuliko mambo makubwa,huwa mnahisi mko sahihi nyie kwanza kuliko mtu mwingine yoyote,unataka upendwe,upewe kila kitu wewe,ufanyiwe yote unayoyakuta kwa jirani na rafiki zako ajabu ni kwamba wewe hutaki na huwezi kufanya hata moja unalotaka ufanyiwe,mahusiano ni kama maji ukiyasafisha na kuyatunza nawe yatakutunza badae utakapo yanywa
Tutengekua hatufanyi hizo big things sidhani kama tungelalamikia only little things...
Halafu kama haujajua vizuri wanawake wanajali vitu vidogo vidogo zaidi ya vikubwa.
Napika naandaa napakua naosha vyombo hapo mwanaume akisaidia angalau kuleta kijiko inamaana kubwa mnoo.
 
shida ya wanawake wa leo you are so fine in judging small issues kuliko mambo makubwa,huwa mnahisi mko sahihi nyie kwanza kuliko mtu mwingine yoyote,unataka upendwe,upewe kila kitu wewe,ufanyiwe yote unayoyakuta kwa jirani na rafiki zako ajabu ni kwamba wewe hutaki na huwezi kufanya hata moja unalotaka ufanyiwe,mahusiano ni kama maji ukiyasafisha na kuyatunza nawe yatakutunza badae utakapo yanywa
#smallthingsmatterthemost#
 
Tutengekua hatufanyi hizo big things sidhani kama tungelalamikia only little things...
Halafu kama haujajua vizuri wanawake wanajali vitu vidogo vidogo zaidi ya vikubwa.
Napika naandaa napakua naosha vyombo hapo mwanaume akisaidia angalau kuleta kijiko inamaana kubwa mnoo.
ofcoz yes! Tatizo ni usilalamike na kuona kuto kupewa kijiko ni big deal,wakati kuna vingi tu vingine umefanyiwa
 
Utoto kwenye kubembelezwa na kufanyiwa kazi, ila akichelewa kurudi au atoke bila kuaga mpigie simu umuulize au mwambie kwa nini hivi na hivi. Utajibiwa "usinitreat kama mtoto bana, wewe sio mama yangu". Ngachoka


haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ! nacheka hapa mbiti ananiangaliaaaa haaha kamaliza kula yeye kaenda mbali zaid kaacha vyombo kwenye kochi yaan nimejikuta nachekaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! kha haya manaume sijui tunayaaokotea wapi !hahaha kweli @brondo ulikuwa na haki kusema mume wangu 'SPECIAL CASE'
 
Mtufikirie na sisi tunachoka kutumwa siku nzima
Unakosea kupanga vitu madam ndo maana anakutuma ili next time ujiongeze. Utaandaaje meza ili ale usahau kuweka maji ya kunawa na chumvi (table salt) halafu wewe uondoke badala ya kula naye au kumliwaza wakati anakula?

Ni mawili, hupendi kuwa karibu naye (lack of love) na kama una nia ya kuendelea naye jifunze kupanga nyumba na umshirikishe. Utimize majukumu yako kama mama kesho mtazaa watoto ujue jinsi ya kusimamamia familia.

Namalizia hivi ukikubali kuolewa usilale na ..........

Hapo kwenye usilale na ...... maana yake ni pana
 
Kuna wanaume wanapenda u-mwinyi bwana, yaani anaamka anaenda kuoga wakati anaoga unatandika kitanda na kuweka mazingira ya chumba vizuri. Unakwenda jikoni kuandaa chai, anatoka bafuni na taulo kiunoni anatafuta atavaa boxer na kama atakumbuka mafuta basi itakuwa kwenye viganja vya mikono. Taulo atakuachia juu ya kitanda si tatizo lake tena.

Mezani umeandaa chai na vitafunio hata kama chumvi haisikiki mfano kwenye mayai atakuita ukamchukulie jikoni hapo ni baada ya kukuita umletee maji ya kunawa na tissue ya kujikaushia.

Yaani ameshindwa kabisa kwenda kunawa jikoni au bafuni au kwenda jikoni kuchukua chumvi. Na akimaliza kula hataondoa hata kijiko mezani anaacha kila kitu pale anakwenda kukaa kwenye sofa anaangalia mpira, kusoma gazeti au anachat kwenye simu. Hiyo ni weekend.
mpe semina elekezi ya maisha ya wawili [mr&mrs]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom