Wanaume mamwinyi

Wanaume mamwinyi

mbona ndo wajibu wetu mpenz,kama anatafuta pesa mi sioni tatizo....ila siyo awe mchoyo nyumban Afu asubirie kutanua miguu tuu
Hayo ya kutafuta pesa shost ananiambia mume wake anampa 10,000 ya simu kila J'mos
Nature mbona mkiwa kwenye mageto yenu hamfanyi hivyo !?
Huwa inaboa sana mtu anasimama anavua nguo anaacha hapo hapo.
Taulo kitandani,upo unapika anakuita kamletee glass mara kidogo kaita umtafutie charger,
Hujarudi vizuri anaulizia remote,
Ukikaa ujiandae uepue unaitwa ukawashe ac/feni.
Mpaka ifike jioni unatamani aondoke tu walau upumzike !
hatakuita tu ukamchukulie simu yake ikiita kwani hata yeye hajui nani anapiga na hata ki wewe umjue
 
Na mama zetu walikuwa comfortable tu na hayo,leo si mmeshituka baada ya feminist movement kukosoa kila kitu,mbona mi sijaona ubaya hapo,na mwanaume nae kuna mambo anayafanya ili mayai na tisuue viendelee kuwepo nyumbani
Aisee wanaume zao walikua responsible hao unaowaita mama zenu,
Nimeona mifano mingi tu unakuta mwanaume anamfulia mkewe (wakiwa wazee tayari)
Sasa sijui huwa mnawazungumzia mama wapi hao,
Ni hao hao wanaume walikua wanakwenda sokoni na kuwaacha wake zao wapumzike ?
Ama wanaume wapi hao ?
Hili ni jambo dogo tu mtu akishaswaki aweke mswaki unapotakiwa,aweke taulo linapotakiwa,aweke nguo zake kwenye dustbin n.k
Babu yangu mpaka leo anafua nguo na mkewe akiwa hajisikii vizuri anafanya usafi chumbani kwake !
 
Ile umeamka asubuhi ukawahi sehemu ukamuacha kalala ukirudi jioni hajatandika kitanda, hajaoga kalala kisa haukuwepo ukamuandalia maji utafikiri unaishi na chizi. Wanawake tuna tabu sana.
Hata mwili wake mwebyewe

Katisha

Hao ndio wanaorudia boksa mpaka inasimama kwa uchafu kisa mkewe hajamwandalia...utadhani hiyo boksa anavaa mkewe
 
Yuko wawili tu kwenye nyumba, umemaliza kunywa chai basi hata kama kuosha vyombo utashindwa niwekee tu kwenye sinki mwenyewe nitaviosha lakini hii umwinyi via kuondolewa kila kitu mezzanine unachosha
 
Kazi ya mwanamke ni kumhudumia mwanaume wape nafasi wenzio walihudumie njemba,trust me watalichukua jumla
Aah wapi, hata ukilihudumia litachukuliwa tu, likwende hukooo
 
Nature mbona mkiwa kwenye mageto yenu hamfanyi hivyo !?
Huwa inaboa sana mtu anasimama anavua nguo anaacha hapo hapo.
Taulo kitandani,upo unapika anakuita kamletee glass mara kidogo kaita umtafutie charger,
Hujarudi vizuri anaulizia remote,
Ukikaa ujiandae uepue unaitwa ukawashe ac/feni.
Mpaka ifike jioni unatamani aondoke tu walau upumzike !
Utakuwa na ujinga wa kiwango cha standard gauge kama utajaribu ku compare maisha ya mwanaume akiwa ghetto na ya ndani ya ndoa.

Inaonesha hujui wajibu wako na ni mwanamke wa kushindia tamthilia (mvivu) sana maana KE wa sharp hawapo hivyo ivyo.

We kaa ukijua kama mwanamke wa tamaduni ya ki TZ hata kama umekulia hyatt regency, una wajibu wa kufanya chores zote ndani ya nyumba hio ni pia na kumhudumia mumeo lioneee kwanzaaa...Nyie ndio minyumba yenu imejaa mimende kwa uchafu..Acha uvivu na kulalamika ovyo wewe
 
Pia, kupika, kuosha vyombo, kumtawaza mtoto na kuzoa mavi ya mtoto
 
Na mama zetu walikuwa comfortable tu na hayo,leo si mmeshituka baada ya feminist movement kukosoa kila kitu,mbona mi sijaona ubaya hapo,na mwanaume nae kuna mambo anayafanya ili mayai na tisuue viendelee kuwepo nyumbani
Anayoyafanya mwanaume na mwanamke anafanya pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom