Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,894
- 52,484
Sikujua kama ni uzungu mwanaume kujihudumia na kumsaidia mkewe !Hayo mambo tushazoea kwenye ndoa we r Tanzanian hata usomeje mwanamke lazima mumeo umhudumie kila kitu wengi tunafundishwa hvyoo
Ni jambo la kawaida pia kwetu ukiona ananuna mke hajafundwa au uzungu mwingi
My own brand!!