Wanaume jiandaeni kupokea maisha baada ya kustaafu

Wanaume jiandaeni kupokea maisha baada ya kustaafu

Kafa kizembe sana. Yaani watoto wanitese wakati Nina nyumba ya million 3000+ dadeki nauza naenda nunua kajumba ka chumba na sebule kwa m hata 25 inayobaki namkula na kutibiwa mpaka ntakapokufa kishujaa.

Sitakagi ujinga mm
 
Ukitegemea watoto ulio lipia ada kubwa kwenye private schools kukutunza au ukitegemea mke ulio mvumilia siku zote eti ndo atakutunza au ukitegemea hiyo pession 33% yako na bima ya afya ulio pata baada ya kustaafu, hapo umechemsha mkuu.....

Maisha ya kustaafu yanahitaji cash flow or cash in hand sio assets au promises, mzee mstaafu jirani mwenye watoto 5 gradutes kati yao wawili wako wingereza watatu wameajiriwa serikalini, amekufa kifo cha kimasikini sana 'died like apauper' wakati mke wake ameenda kutembelea bint yake mkoani takribani miezi 3 sasa hayupo.....kweli meneja mstaafu ndo wakukosa sh 10,000 kuwayishwa dispensary, ndo wa kupewa chakula na wapangaji?????

Rai yangu if you are 45+ anza kujianda jinsi ya kustaafu kwa heshima uza baadhi ya mari zako utunze pesa sio sehemu moja never ever over trust your wife, hao wa dudu tukikua wana badilika na kuhamia kwa watoto wao. Kwa kweli nime umia sanaa mzee kajitahidi sanaa kutunza familia uwe first class nyumba yake ni 300m to 500m worthy ila bado maiti iko hospitali next of kin bado hawajafika hi ni siku ya pili.
Huu uzi umeletwa kimhemko sana bila facts zozote. Kama mzee ni meneja mstaafu maana yake anabima ya afya (NHIF) pia ama pesheni ya kila mwezi. Je, mtu wa namna hiyo ni wa kukosa 10k? Na kukosa matibabu?
Mtoa Uzi jazia nyama pale zilipopelea
 
Wengi wanaishi kwa mikopo hata awe anapata take home ya 5mil kwa sababu ya majukumu mengi ,kukimbilia familia hapo ndio matatizo kuhudumia watoto zaidi ya mmoja kwa miaka 20 mpaka wafike chuo sio kitoto.

Imagine kijana kaanza kazi/biashara hajajipata vizuri tayari kashamiliki familia.

Huo ni ufala sana.
 
Ila Kuna Wazee wengine wanazingua sana,Kuna Mmoja ana watoto sita KAZI yake ni Mlinzi WA kwenye magodauni..kula yake ya shida yéyé na familia yake wakati mwingine anashindia na kulalia karanga za mia mbili sababu ya mshahara Mdogo.

Cha kushukuru amepata mwanga WA kusomesha japo kwa mbinde,Mbaya zaidi anataka kuongeza watoto eti mm nasomesha huyu Mmoja Kaka Yao halafu yéyé atakuja kusomesha wadogo zake.

Yaan KAZI iliyomshinda yéyé anataka Mwanae ndio aje aifanye bila kujua Mazingira atakayopitia huyu Mtoto.huyu mtoto asome atengeneze maisha yake na familia yake wakati huo huo apambane na mzigo WA wadogo zake wengine sita aje kuwasomesha na hapohapo atunze na wazazi Pia.Comeon huyu mtoto sio kitega Uchumi.

Wazazi wengine wanaamini kuzaa ni kitega Uchumi kama lilivyo trekta kwamba ukiwa nalo utalitumia kwenye kilimo Na likuingizie pesa,
Kwamba Mtoto ni chanzo Cha kukufanya Uwe tajiri japo huo utajiri yéyé mwenyewe umemshinda kuupata.wengine Wakizaa watoto wakike ndio furaha Yao wakiamini kuwa watakuja kuwa matajiri sababu ya kupokea mahali kubwa za ngo'ombe wengi..
Kama taifa Bado tuna KAZI kubwa ya kutoka katika umaskini WA fikra Kuja katika Uhuru,Umaskini WA fikra umetufanya watumwa WA Sisi wenyewe na tadamuni zilizopitwa na wakati.
 
Ukitegemea watoto ulio lipia ada kubwa kwenye private schools kukutunza au ukitegemea mke ulio mvumilia siku zote eti ndo atakutunza au ukitegemea hiyo pession 33% yako na bima ya afya ulio pata baada ya kustaafu, hapo umechemsha mkuu.....

Maisha ya kustaafu yanahitaji cash flow or cash in hand sio assets au promises, mzee mstaafu jirani mwenye watoto 5 gradutes kati yao wawili wako wingereza watatu wameajiriwa serikalini, amekufa kifo cha kimasikini sana 'died like apauper' wakati mke wake ameenda kutembelea bint yake mkoani takribani miezi 3 sasa hayupo.....kweli meneja mstaafu ndo wakukosa sh 10,000 kuwayishwa dispensary, ndo wa kupewa chakula na wapangaji?????

Rai yangu if you are 45+ anza kujianda jinsi ya kustaafu kwa heshima uza baadhi ya mari zako utunze pesa sio sehemu moja never ever over trust your wife, hao wa dudu tukikua wana badilika na kuhamia kwa watoto wao. Kwa kweli nime umia sanaa mzee kajitahidi sanaa kutunza familia uwe first class nyumba yake ni 300m to 500m worthy ila bado maiti iko hospitali next of kin bado hawajafika hi ni siku ya pili.
....Pensheni, Kwa Kiswahili....Pension Kwa Kiingereza ! Umakini !!
 
Maisha ya kustaafu yanahitaji cash flow or cash in hand sio assets au promises, mzee mstaafu jirani mwenye watoto 5 gradutes kati yao wawili wako wingereza watatu wameajiriwa serikalini, amekufa kifo cha kimasikini sana 'died like apauper' wakati mke wake ameenda kutembelea bint yake mkoani takribani miezi 3 sasa hayupo.....kweli meneja mstaafu ndo wakukosa sh 10,000 kuwayishwa dispensary, ndo wa kupewa chakula na wapangaji?????
Hao watoto waliomtelekeza Baba yao wamejilaani.
 
Haya mambo ya kuzika hela kwenye kujenga jumba la kifahari halafu huna investment ni tatizo kubwa sana kwa watu weusi
Tusilaumu bure maana options ni ndogo sana za kuwekeza bongo, kwa wenzetu ni rahisi ,opportunities za kuwekeza vipesa vya retirement ukalipwa kidogo kidogo zipo nyingi, zaidi ya treasury bills za BOT ambapo pesa zitakuwa salama na faida kidogo, sijui wapi mstaafu anaweza kuweka pesa zake zimtunze, financial industry kwa bongo bado sana
 
Tusilaumu bure maana options ni ndogo sana za kuwekeza bongo, kwa wenzetu ni rahisi ,opportunities za kuwekeza vipesa vya retirement ukalipwa kidogo kidogo zipo nyingi, zaidi ya treasury bills za BOT ambapo pesa zitakuwa salama na faida kidogo, sijui wapi mstaafu anaweza kuweka pesa zake zimtunze, financial industry kwa bongo bado sana
Mkuu suala sio kuwekeza hapana la muhimu ni kua finical cash flow , bonds au rentals au bank deposites hazidaidii kukufanya kupata cash immediately incase of evetuaties.........kuna siku utakosa 100k kuenda kushusha pressure clinic
 
Hamna anae jua yatakaotokea kila mtu anategemea mazuri tu. Cha muhimu nikufanya maandalizi mapema na kupunguza matumaini ya kusaidiwa na watoto.
Nb kula vizuri kwanza nda uanze kulipia ada ya mamillioni, usijiumize kwa ajiri ya ada za watoto
Wabongo wengi ada za kufuata mkumbo zinaumiza wengi. Mtu ana watoto wa 4 ada milioni tatu , hapo ni 12 milioni na zaidi. Usomeshe hadi chuo hakuna rangi utaacha kuona, mara 60 hiyo ,hakuna cha maana ulichofanya na watoto wako home hawana kazi au wana kazi ya 500k kwa mwezi.
 
True mkuu, Bond ni moments na kama mtoto kila anachokumbuka kuhusu wewe ni kutokuwepo home bila kuwapa muda hata ukirudi, bond haiwezi kuwepo. Shukrani mkuu 🙏🏽🙏🏽
Unaweza ukawa na muda na watoto halafu wakakutupa uzeeni. Kuna kitu kinaitwa utu, watoto wakikosa utu usitegemee watakutunza ukiwa mzee hata kama uliwapa muda wako na maisha mazuri.
 
Soma viziri stori hii watoto wako uingereza na wengine wanamaisha yao na mke ameenda uingreza kwa watoto baba yao kabaki pekee home kqzidiwa na ugonjwa na majirani ndo wanampa msosi

Kama MUNGU akikubariki kuishi miaka mingi huitaji nguvu kubwa kugundua kuwa katika uzee wako watoto na mke hawatakuwa na msaada kwako sababu by 50's tu utaona kuwa hawakujali sababu umeishi nao muda.

Andaa plan A na B ya uzee wako halafu wao watakuwa plan C. Kama uliweza kuwasomesha, ukajenga nyumba za maana huwezi shindwa kuandaa mpango kazi wa namna utakavyoishi katika uzee wako.
 
Wanaume wengi hasa wa mijini ni wajinga linapokuja suala la familia na mahusiano. Wanakubali kuishi ndoa nyonyaji wakinyonywa na wake zao ujana wao wote halafu utegemee mabadiliko uzeeni! Mke ana kipato sawa au kinakaribia sawa na cha mume lakini hachangii gharama za lazima za uendeshaji fanilia kana chakula nk.
Mke ukishamkosea mwanzoni kwa kuruhusu sera za kijinga ndani ya familia yako tegemea taabu uzeeni. Imefika hatua mume anastaafu mke anadai wagawane pensheni ya mume tena na watoto wanagawiwa. Mwinginen eti abahangaika kuwanunulia watoto viwanja na au kuwajengea nyumba , ujinga ulioje. Nyumba ukijenga jenga kwa ajili yako, watoto wasomeshe basi inatosha tena hakikisha hufanyi kazi moja tu ya kusomesha watoto shule ghali zisizowiana na kipato chako. Ukiweka akiba benki weka kwa jina lako hata ukistaafu chukua pensheni kila nwezi kula kulingana na ukubwa wa pensheni usitake kuendeleza ufahari wa kuchangia michango mikubwa kwenye maharusi, nyumba za ibada au mambo ya ukoo au ujirani kama wakati ulipokuwa kazini.
Kuna mtu alikuwa jirani yangu tena kazini kwake alikuwa mkuu wa idara, alipostaafu mkewe akadai kila mtu afe na chake eti wagawane pensheni, yulenmzee akakubali shinikizo la mkewe , mkewe akadai tena kuwa wakati anaolewa hakuja na watoto hivyo apewe 50% na pia akadai watoto aliozaa na huyo mumewe ndio wagawane na baba yao 50% ya baba. Huyo baba kwa ujinga akakubali hiyo fomula akagawana na watoto 50% na mama peke yake akatia kibindoni 50%. Ya pensheni ya baba Huyo mama naisha yake yote hajawahi kuajiriwa alikuwa mama wa nyumbani akifanya biashara za hasara huku zikitegemea gharama za uendeshaji toka mshahara wa mumewe. Huyo mumewe tulimzika makaburi ya pugu kanisani ndani ya miaka isiyozidi miwili baada ya kustaafu.

Ujinga wa ujanani ndio kitanzi chako uzeeni.
 
Back
Top Bottom