Wanaume jiandaeni kupokea maisha baada ya kustaafu

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,277
21,455
Ukitegemea watoto ulio lipia ada kubwa kwenye private schools kukutunza au ukitegemea mke ulio mvumilia siku zote eti ndo atakutunza au ukitegemea hiyo pession 33% yako na bima ya afya ulio pata baada ya kustaafu, hapo umechemsha mkuu.....

Maisha ya kustaafu yanahitaji cash flow or cash in hand sio assets au promises, mzee mstaafu jirani mwenye watoto 5 gradutes kati yao wawili wako wingereza watatu wameajiriwa serikalini, amekufa kifo cha kimasikini sana 'died like apauper' wakati mke wake ameenda kutembelea bint yake mkoani takribani miezi 3 sasa hayupo.....kweli meneja mstaafu ndo wakukosa sh 10,000 kuwayishwa dispensary, ndo wa kupewa chakula na wapangaji?????

Rai yangu if you are 45+ anza kujianda jinsi ya kustaafu kwa heshima uza baadhi ya mari zako utunze pesa sio sehemu moja never ever over trust your wife, hao wa dudu tukikua wana badilika na kuhamia kwa watoto wao. Kwa kweli nime umia sanaa mzee kajitahidi sanaa kutunza familia uwe first class nyumba yake ni 300m to 500m worthy ila bado maiti iko hospitali next of kin bado hawajafika hi ni siku ya pili.
 
Ukitegemea watoto ulio lipia ada kubwa kwenye private schools kukutunza au ukitegemea mke ulio mvumilia siku zote eti ndo atakutunza au ukitegemea hiyo pession 33% yako na bima ya afya ulio pata baada ya kustaafu, hapo umechemsha mkuu.....
Maisha ya kustaafu yanahitaji cash flow or cash in hand sio assets au promises, mzee mstaafu jirani mwenye watoto 5 gradutes kati yao wawili ni wako wingereza watatu wameajiriwa serikalini, amekufa kifo cha kimasikini sana 'died like apauper' wakati mke wake ameenda kutembelea bint yake mkoani takribani miezi 3 hayupo.....kweli meneja mstaafu ndo wakukosa sh 10,000 kuwayishwa dispensary, ndo wa kupewa chakula na wapangaji?????

Rai yangu if you are 45+ anza kukianda jinsi ya kustafu kwa heshima uza mari zako utunze pesa sio sehemu moja never ever over trust your wife, hao wa dudu tukikua wana badilika na kuhamia kwa watoto wao.


Watu weusi nyie ni lini mtaanza kuishi badala ya kusukuma siku?

Everything is tragedy
 
Ukitegemea watoto ulio lipia ada kubwa kwenye private schools kukutunza au ukitegemea mke ulio mvumilia siku zote eti ndo atakutunza au ukitegemea hiyo pession 33% yako na bima ya afya ulio pata baada ya kustaafu, hapo umechemsha mkuu.....
Maisha ya kustaafu yanahitaji cash flow or cash in hand sio assets au promises, mzee mstaafu jirani mwenye watoto 5 gradutes kati yao wawili ni wako wingereza watatu wameajiriwa serikalini, amekufa kifo cha kimasikini sana 'died like apauper' wakati mke wake ameenda kutembelea bint yake mkoani takribani miezi 3 hayupo.....kweli meneja mstaafu ndo wakukosa sh 10,000 kuwayishwa dispensary, ndo wa kupewa chakula na wapangaji?????

Rai yangu if you are 45+ anza kukianda jinsi ya kustafu kwa heshima uza mari zako utunze pesa sio sehemu moja never ever over trust your wife, hao wa dudu tukikua wana badilika na kuhamia kwa watoto wao.
Eeh basi ni balaa kumbe wakishatuchosha na magubu yao wanatukimbia tena na kututelekeza isee..
Wanaume tumeubwa mateso!
 
Ukitegemea watoto ulio lipia ada kubwa kwenye private schools kukutunza au ukitegemea mke ulio mvumilia siku zote eti ndo atakutunza au ukitegemea hiyo pession 33% yako na bima ya afya ulio pata baada ya kustaafu, hapo umechemsha mkuu.....

Maisha ya kustaafu yanahitaji cash flow or cash in hand sio assets au promises, mzee mstaafu jirani mwenye watoto 5 gradutes kati yao wawili wako wingereza watatu wameajiriwa serikalini, amekufa kifo cha kimasikini sana 'died like apauper' wakati mke wake ameenda kutembelea bint yake mkoani takribani miezi 3 sasa hayupo.....kweli meneja mstaafu ndo wakukosa sh 10,000 kuwayishwa dispensary, ndo wa kupewa chakula na wapangaji?????

Rai yangu if you are 45+ anza kujianda jinsi ya kustaafu kwa heshima uza baadhi ya mari zako utunze pesa sio sehemu moja never ever over trust your wife, hao wa dudu tukikua wana badilika na kuhamia kwa watoto wao. Kwa kweli nime umia sanaa mzee kajitahidi sanaa kutunza familia uwe first class nyumba yake ni 300m to 500m worthy ila bado maiti iko hospitali next of kin bado hawajafika hi ni siku ya pili.
Unaonaje ungewahimiza wapiganie mabadiliko ya mfumo na uwajibikaji serikali ili na sisi tuwe na mifumo ya kustaafu kama Ulaya ambapo mtu akistaafu anaishi maisha ya raha? I mean hili jambo la kuhimiza kila mfanyakazi awe na kitega uchumi cha kumsitiri wakati wa kustaafu practically haliwezekani na siyo suluhisho la kudumu ila ni matokeo ya kuwa na uongozi mbovu. Tujaribu kutatua tatizo ni siyo kulizunguka.
 
Wengi wetu hatuelewi Kuwa ni wajibu wetu wazazi kutunza na kusomesha watoto lakini sio wajibu wa mtoto kutunza mzazi.Somesha huku na wewe ukiweka akiba Yako pamoja na miradi Yako ya kukupa mtindi wa kusogeza uzee.Huyo Mzee nyumba ya 300m inaonekana alikuwa vizuri kiuchumi ameshindwaje kuweka mazingira ya watoto Kuja kukopa kwake hata kama Wana kazi zao?.
 
Ukitegemea watoto ulio lipia ada kubwa kwenye private schools kukutunza au ukitegemea mke ulio mvumilia siku zote eti ndo atakutunza au ukitegemea hiyo pession 33% yako na bima ya afya ulio pata baada ya kustaafu, hapo umechemsha mkuu.....

Maisha ya kustaafu yanahitaji cash flow or cash in hand sio assets au promises, mzee mstaafu jirani mwenye watoto 5 gradutes kati yao wawili wako wingereza watatu wameajiriwa serikalini, amekufa kifo cha kimasikini sana 'died like apauper' wakati mke wake ameenda kutembelea bint yake mkoani takribani miezi 3 sasa hayupo.....kweli meneja mstaafu ndo wakukosa sh 10,000 kuwayishwa dispensary, ndo wa kupewa chakula na wapangaji?????

Rai yangu if you are 45+ anza kujianda jinsi ya kustaafu kwa heshima uza baadhi ya mari zako utunze pesa sio sehemu moja never ever over trust your wife, hao wa dudu tukikua wana badilika na kuhamia kwa watoto wao. Kwa kweli nime umia sanaa mzee kajitahidi sanaa kutunza familia uwe first class nyumba yake ni 300m to 500m worthy ila bado maiti iko hospitali next of kin bado hawajafika hi ni siku ya pili.

Ni ushauri mzuri
Japo kwa mfano uliotupa; kama huyo baba alikuwa Manager kama ulivyo andika Inamaana hakosi walau laki nane na kuendelea ya Pension kila mwezi.....na pengine kard ya matibabu ya NHIF....
 
Wengi wetu hatuelewi Kuwa ni wajibu wetu wazazi kutunza na kusomesha watoto lakini sio wajibu wa mtoto kutunza mzazi.Somesha huku na wewe ukiweka akiba Yako pamoja na miradi Yako ya kukupa mtindi wa kusogeza uzee.Huyo Mzee nyumba ya 300m inaonekana alikuwa vizuri kiuchumi ameshindwaje kuweka mazingira ya watoto Kuja kukopa kwake hata kama Wana kazi zao?.
Kajenga kwa mkupuo ,nyumba kama hiyo ina thamani ukijenga ukiwa na miaka chini ya 40 yaani una miaka 20 au 15 mbele kazini...Ukijenga kwa pesa za kustaafu utajuta.

Ukiwa na nyumba tayar chini ya miaka 40 hata mbili kibongo bongo umepiga hatua kama umejenga na hauna kimeo cha mkopo .

Wengi wanaishi kwa mikopo hata awe anapata take home ya 5mil kwa sababu ya majukumu mengi ,kukimbilia familia hapo ndio matatizo kuhudumia watoto zaidi ya mmoja kwa miaka 20 mpaka wafike chuo sio kitoto.
 
Nipo na mzee anastaafu mwakani akiwa na miaka 60 maana bado yupo 59 ,ana watoto sita wakubwa ila anachukua salary advance mpaka kesho .

Huyo kabakisha mwaka mmoja watoto wote wamempitia kushoto hawaba time nae ,kabaki kusema wanangu wana masters ila tunaona ana mkopo serikali mkubwa bado anachukua salary advance.
 
Wengi wetu hatuelewi Kuwa ni wajibu wetu wazazi kutunza na kusomesha watoto lakini sio wajibu wa mtoto kutunza mzazi.Somesha huku na wewe ukiweka akiba Yako pamoja na miradi Yako ya kukupa mtindi wa kusogeza uzee.Huyo Mzee nyumba ya 300m inaonekana alikuwa vizuri kiuchumi ameshindwaje kuweka mazingira ya watoto Kuja kukopa kwake hata kama Wana kazi zao?.
Mzee alikua meneja wa tasisi kubwa fulani nxhini alipenda kuishi first class life, ila watoto wake ndo wamemsaliti.......sisi katika Dini yetu ni jukumu la mtoto kuntuza mzazi wake.
 
Kuna mwingine kastaafu, mke wake naye kastaafu, badala waishi pamoja wamalizie uzee wao tifu lilitokea na mama anaishi peke yake. Mbaya zaidi anataka moto na anapelekewa na vijana wadogo sawa na wajukuu zake wakati mume wake yupo hai wametengana ki mtindo
 
Ukitegemea watoto ulio lipia ada kubwa kwenye private schools kukutunza au ukitegemea mke ulio mvumilia siku zote eti ndo atakutunza au ukitegemea hiyo pession 33% yako na bima ya afya ulio pata baada ya kustaafu, hapo umechemsha mkuu.....

Maisha ya kustaafu yanahitaji cash flow or cash in hand sio assets au promises, mzee mstaafu jirani mwenye watoto 5 gradutes kati yao wawili wako wingereza watatu wameajiriwa serikalini, amekufa kifo cha kimasikini sana 'died like apauper' wakati mke wake ameenda kutembelea bint yake mkoani takribani miezi 3 sasa hayupo.....kweli meneja mstaafu ndo wakukosa sh 10,000 kuwayishwa dispensary, ndo wa kupewa chakula na wapangaji?????

Rai yangu if you are 45+ anza kujianda jinsi ya kustaafu kwa heshima uza baadhi ya mari zako utunze pesa sio sehemu moja never ever over trust your wife, hao wa dudu tukikua wana badilika na kuhamia kwa watoto wao. Kwa kweli nime umia sanaa mzee kajitahidi sanaa kutunza familia uwe first class nyumba yake ni 300m to 500m worthy ila bado maiti iko hospitali next of kin bado hawajafika hi ni siku ya pili.
kama hii taarifa ni ya ukweli basi shida ipo, nadhani tatizo ni kwenye hiyo familia ilai mimi ni mstaafu unachosema ni sawa kabisa ila kuna hela alikuwa anapata kila mwisho wa mwezi alitumiaje maana hana tegemezi ? pia ana bima ya afya
 
Umeweka emotional na judgement nyingi kwenye huu uzi. Ila trust me, makosa kwa hio case yako yapo kwa both watoto na huyo marehemu mwenyewe
Baba anamakosa ya kujisahau na kuwekeza sanaa kwa familia yake kwa kusomesha wstoto na kuwajengea.
 
Back
Top Bottom