Wanaume jiandaeni kupokea maisha baada ya kustaafu

Wanaume jiandaeni kupokea maisha baada ya kustaafu

Wastaafu wengi ulalamika kutelekezwa na wake na watoto wao.
Mke anaungana na watoto unaachwa hapo ujifie.
Jiongeze ukiwa na nguvu,hata wakikutenga unaishi.
Chukua watoto wa ndugu ishi nao.
 
Ni muhimu sana kuwekeza kwa ajili ya siku za uzeeni. Mke anaweza asiwe msasda kabisa, na watoto pia. Inategemea pia umeishi vipi nao. Kama utakosa msaada kwa familia, akiba yako itakusukuma hadi mauti. Tafuta kati ya wanao utakayemuamini. La hakuna, tafuta kijana/binti (wa makamo) kwa ajili ya kufuatilia masuala yako, mfano kufuatilia afya yako au kufuatilia hela benki na mahitaji ya hapa na pale
 
Ndo kulipiza kisasi hivo?? Umegraduate bado unawaza kumkomesha baba ako mzazi hopeless children, wanajua mangapi kawakingia.......hamna sababu tosha ya kususa mzazi wako what so ever case.
Wewe unasema tu umeshawahi kupitia situation kama hizo? as long as hujui familia hiyo kiundani usijudge wewe ni mtazamaji tu hujui yaliyomo ndani wenyew wanajuana hao
 
Ni muhimu sana kuwekeza kwa ajili ya siku za uzeeni. Mke anaweza asiwe msasda kabisa, na watoto pia. Inategemea pia umeishi vipi nao. Kama utakosa msaada kwa familia, akiba yako itakusukuma hadi mauti. Tafuta kati ya wanao utakayemuamini. La hakuna, tafuta kijana/binti (wa makamo) kwa ajili ya kufuatilia masuala yako, mfano kufuatilia afya yako au kufuatilia hela benki na mahitaji ya hapa na pale
Mkuu unamaanisha mstaafu aoe tena kwasbb ya kupata mtu wa kufuatlia masuala yake ya afya lishe nk au nimekuelewa vibaya.
 
Wewe unasema tu umeshawahi kupitia situation kama hizo? as long as hujui familia hiyo kiundani usijudge wewe ni mtazamaji tu hujui yaliyomo ndani wenyew wanajuana hao
Mkuu naomba unipe scenario yoyote anao weza kukufanya utenge baba ako mzazi alio kusomesha mpaka kufa masikini kama mbwa koko........kaniletee hicho kisa chochote buni tu.
 
Ukitegemea watoto ulio lipia ada kubwa kwenye private schools kukutunza au ukitegemea mke ulio mvumilia siku zote eti ndo atakutunza au ukitegemea hiyo pession 33% yako na bima ya afya ulio pata baada ya kustaafu, hapo umechemsha mkuu.....

Maisha ya kustaafu yanahitaji cash flow or cash in hand sio assets au promises, mzee mstaafu jirani mwenye watoto 5 gradutes kati yao wawili wako wingereza watatu wameajiriwa serikalini, amekufa kifo cha kimasikini sana 'died like apauper' wakati mke wake ameenda kutembelea bint yake mkoani takribani miezi 3 sasa hayupo.....kweli meneja mstaafu ndo wakukosa sh 10,000 kuwayishwa dispensary, ndo wa kupewa chakula na wapangaji?????

Rai yangu if you are 45+ anza kujianda jinsi ya kustaafu kwa heshima uza baadhi ya mari zako utunze pesa sio sehemu moja never ever over trust your wife, hao wa dudu tukikua wana badilika na kuhamia kwa watoto wao. Kwa kweli nime umia sanaa mzee kajitahidi sanaa kutunza familia uwe first class nyumba yake ni 300m to 500m worthy ila bado maiti iko hospitali next of kin bado hawajafika hi ni siku ya pili.
😭
 
Mzee wangu kastaafu ana miaka kama mi4 hiv...kaugua , madaktar wanasema wamfanyie operation yeye hatak na anabishana nao kweli...
Kwahyo, huwezi jua kwanin familia imekimbia, wazee wanakuaga wabishi balaa
 
Mzee wangu kastaafu ana miaka kama mi4 hiv...kaugua , madaktar wanasema wamfanyie operation yeye hatak na anabishana nao kweli...
Kwahyo, huwezi jua kwanin familia imekimbia, wazee wanakuaga wabishi balaa
Kuna mzee warafiki yangu alistaafu 10 yrs past alikua na uvimbe shingoni alikata kuufanyia operation, mtoto wake moja kutoka sweden alivo fika na alikua na pesa za kutosha alivyo similia mzee anavo kataa kumfanyia oparation, kaweka mzee wake kwenye gari lake kwa kumrubuni kwamba anaenda kufanyiwa uchunguzi zaidi.

kumbe ana mpango wa kufanyiwa upasuaji, hapo ndo ulikua mwisho ya uhai wa mzee wake, baada ya oparation prèsure ilishidwa kushuka ndo akapitia mazima, mpaka leo jamaa anajilamu. Sio kila jambo ni la kulazimisha mkuu.
 
Mkuu watoto kujisahau ni kawaida ila watoto wote yani hata moja asikukumbuke wakati wewe ndio umewafikisha hapo. Kuna story ambayo hukuambiwa kwa hiyo usiweke conclusion maana ugomvi wa familia za kiswahili usiuingilie

Kwa experience yangu, Kuna namna wazazi wa kiume kwa zamani, walikuwa wanafanya makosa waziwazi na kujitenga na familia kiasi cha kukosa bond na watoto wao kwa kuamini watoto hawatoyashikilia dhidi yao. Sasa wanapostaafu, wale workmates na marafiki aliokuwa anawapa muda zaidi wanapotea, ghafla wanachobakiza ni watoto ambao nao hawakujenga bond nao. Hivyo, anaanza kuforce kuingia kwenye mfumo wa watoto wao ambao hakuuweka, na kinachoendelea ni majuto na lawama

Ndugu zangu, tule sana bata na kuinjoi life ila tusidhani ukishawalisha na kuwalipia ada imetosha. Toa muda kutengeneza bond na watoto hata kama ni kwa nadra 🙏🏽
Umenena jambo zuri kuhusu kutengeneza bond na watoto
 
Wengi wetu hatuelewi Kuwa ni wajibu wetu wazazi kutunza na kusomesha watoto lakini sio wajibu wa mtoto kutunza mzazi.Somesha huku na wewe ukiweka akiba Yako pamoja na miradi Yako ya kukupa mtindi wa kusogeza uzee.Huyo Mzee nyumba ya 300m inaonekana alikuwa vizuri kiuchumi ameshindwaje kuweka mazingira ya watoto Kuja kukopa kwake hata kama Wana kazi zao?.
Umri wako tafadhali
 
Ni ushauri mzuri
Japo kwa mfano uliotupa; kama huyo baba alikuwa Manager kama ulivyo andika Inamaana hakosi walau laki nane na kuendelea ya Pension kila mwezi.....na pengine kard ya matibabu ya NHIF....
Mfano kadi ya benki akiwa nayo mke?
 
kama hii taarifa ni ya ukweli basi shida ipo, nadhani tatizo ni kwenye hiyo familia ilai mimi ni mstaafu unachosema ni sawa kabisa ila kuna hela alikuwa anapata kila mwisho wa mwezi alitumiaje maana hana tegemezi ? pia ana bima ya afya
Si ajabu alikopea pension
 
Kuna mzee warafiki yangu alistaafu 10 yrs past alikua na uvimbe shingoni alikata kuufanyia operation, mtoto wake moja kutoka sweden alivo fika na alikua na pesa za kutosha alivyo similia mzee anavo kataa kumfanyia oparation, kaweka mzee wake kwenye gari lake kwa kumrubuni kwamba anaenda kufanyiwa uchunguzi zaidi.

kumbe ana mpango wa kufanyiwa upasuaji, hapo ndo ulikua mwisho ya uhai wa mzee wake, baada ya oparation prèsure ilishidwa kushuka ndo akapitia mazima, mpaka leo jamaa anajilamu. Sio kila jambo ni la kulazimisha mkuu.
Hizi operation za uzeeni wakati mwingine sio nzuri hata kidogo. Mfano kwetu bibi yangu alikuwa na miaka ya 75 macho yakawa yanamsumbua akafanyiwa operation jicho moja, ikawa ndo basi, halioni tena, ila lile jicho lingine ambalo ambalo halikufanyiwa Operation ndo linamsaidia.
 
Ukitegemea watoto ulio lipia ada kubwa kwenye private schools kukutunza au ukitegemea mke ulio mvumilia siku zote eti ndo atakutunza au ukitegemea hiyo pession 33% yako na bima ya afya ulio pata baada ya kustaafu, hapo umechemsha mkuu.....

Maisha ya kustaafu yanahitaji cash flow or cash in hand sio assets au promises, mzee mstaafu jirani mwenye watoto 5 gradutes kati yao wawili wako wingereza watatu wameajiriwa serikalini, amekufa kifo cha kimasikini sana 'died like apauper' wakati mke wake ameenda kutembelea bint yake mkoani takribani miezi 3 sasa hayupo.....kweli meneja mstaafu ndo wakukosa sh 10,000 kuwayishwa dispensary, ndo wa kupewa chakula na wapangaji?????

Rai yangu if you are 45+ anza kujianda jinsi ya kustaafu kwa heshima uza baadhi ya mari zako utunze pesa sio sehemu moja never ever over trust your wife, hao wa dudu tukikua wana badilika na kuhamia kwa watoto wao. Kwa kweli nime umia sanaa mzee kajitahidi sanaa kutunza familia uwe first class nyumba yake ni 300m to 500m worthy ila bado maiti iko hospitali next of kin bado hawajafika hi ni siku ya pili.
Sitaki kuamini kile ulichokiandika kama msingi wa hoja yako kina ukweli,
Mosi umesema ana nyumba isyiopungua 300M to 500M, Umesema amesomesha watoto, Umetaja neno wapangaji. Na umesema siku mbili next of kin hawaonekani.

Hili siyo kosa la marehemu, kwangu mimi amefanya kila alichopaswa kufanya hapa duniani, kwa maana ya kuhakikisha anawapatia watoto wake elimu bora na yeye anakuwa na nyumba bora ya kuishi.
Jambo lingine umetaja mzee kukosa chakula na kupewa chakula na wapangaji, umesema mzee kukosa elfu ya kumwahisha hospitali, umetaja mke wake kuwa kwa binti yake kwa zaidi ya miezi mitatu.

Kama ana wapangaji sidhani kama angeweza kukosa elfu 10 ya kumwahisha hospitali, kwa sababu bado alikuwa na uwezo wa kumwita mpangaji mmoja na wakaingia makubaliano akamsaidia kiasi cha hela ili aende hospital.

MKE kwenda kwa binti hili ni janga hasa kwa jamii zetu waafrika na binafsi wazazi nilishawapa msimamo wangu kama nikuja kwangu kusalimia waje wote kwa maana ya baba na mama, siwezi kumwita mama alafu baba akabaki nyumbani peke yake. Vivyo hivyo kwa baba. Unless iwe ni issue ya ugonjwa.

Kwa meneja ambaye amestaafu, sijui alikuwa ni meneja wa taasisi au kampuni ipi lakini naamini hakosi pesheni kuanzia laki 4 kwenda juu kwa mwezi + nyumba za wapangaji anakosaje elfu 10?

ALAFU unatuambie tuuze mali tutunze pesa how? una miaka mingapi wewe? hebu fikisha huo umri uuze mali utunze pesa. Wazungu wanakwambia life begins at 60yrs. Hebu fikiria una miaka 45 uuze pengine nyumba za kupangisha ili utunze hela nadhani wewe utakuwa miongoni mwa wazee wapumbavu kuwahi kutokea.

Alafu kama kweli watoto wa huyo mzee wako serikalini kwa maana ya JMT ni mkoa upi ambao watashindwa kufika nyumbani kwa muda wa siku mbili? Labda hao wa UK wanaweza kuchelewa kwa maana ya flght schedule na flight cancelations tofauti na hapo naona kama ni chumvi.
 
hizi stry zingine za kuunga unga ..mtu ijenge nyumba ys 300m ushindwe kuwa na bima kubwa kweli?🚮
MZUSHI tu huyu imagine mtu aliyestaafu akiwa Meneja hivi anajua pensheni kila mwezi ni shilingi ngapi? Mtu ana nyumba za kupangisha anakosaje elfu kwenda hospitali? Ana watoto wanafanyakazi serikalini ambao wote hao kwenye bima zao wamemregister baba yao, manake ana kadi tatu za bima. Tanzania hii ni mkoa upi mtu atakaa amalize siku mbili bila kufika mkoa mwingine? Upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom