Wanaume jiandaeni kupokea maisha baada ya kustaafu

Wanaume jiandaeni kupokea maisha baada ya kustaafu

Nimependa jinsi ulivya badilika nakukubaliana na hali halisi baada ya kustaafu, wengi wa kistaafu akiwa meneja anataka aendelee na lifestyle hiyo hiyo, ndo mathara hayo......kwanini huyu jamaa anataka kuendelea kuishi kwenye kiwanja ambacho ni karibu na mbezi beach wakati lifestyle imesha badilieka tayari.
kunendela na lifesyl sio mbaya ila vyanzo vya -pesa viwepo mapema
 
Wastaafu wengi wana hali mbaya, wanawekeza pesa nyingi sana kwenye kulea na kusomesha watoto lkn mwisho wa siku hakuna wanachopata kutoka kwa hao watoto
Hamna anae jua yatakaotokea kila mtu anategemea mazuri tu. Cha muhimu nikufanya maandalizi mapema na kupunguza matumaini ya kusaidiwa na watoto.
Nb kula vizuri kwanza nda uanze kulipia ada ya mamillioni, usijiumize kwa ajiri ya ada za watoto
 
Familia za watu zinasiri nyingi wewe upo nje huku unaona mzee alikua mkuu wa taasisi kubwa na amesomesha watoto n.k lakini hujui kwanini hawapo karibu na baba. Kuna wazee wakiwa na pesa wanatesaga sana wake zao usikute alikua anahangaika na michepuko huko mke ameishi kwa shida kwenye hiyo ndoa sumu imenda hadi kwa watoto ndo matokeo yake wakikua wanamtenga baba.
 
Watu wako 45 ndo kwanza wanajitafuta halafu mleta mada analeta habari ya kuuza mali?? Mali ipi, uliyoipata lini?

Kama siyo mwanasiasa 45 inafika hata basic needs hujakamilisha.
Mimi binafsi na mshukuru Mungu kwa hilo allahamudullah.
 
Wengi wetu hatuelewi Kuwa ni wajibu wetu wazazi kutunza na kusomesha watoto lakini sio wajibu wa mtoto kutunza mzazi.Somesha huku na wewe ukiweka akiba Yako pamoja na miradi Yako ya kukupa mtindi wa kusogeza uzee.Huyo Mzee nyumba ya 300m inaonekana alikuwa vizuri kiuchumi ameshindwaje kuweka mazingira ya watoto Kuja kukopa kwake hata kama Wana kazi zao?.

Mmm kuna mchina aliniambia uko kwao kumsomesha Mtoto mnaingia kabisa mkataba kua atakutunza uzeeni kumbe kwetu vice vesa [emoji28][emoji28]
 
Familia za watu zinasiri nyingi wewe upo nje huku unaona mzee alikua mkuu wa taasisi kubwa na amesomesha watoto n.k lakini hujui kwanini hawapo karibu na baba. Kuna wazee wakiwa na pesa wanatesaga sana wake zao usikute alikua anahangaika na michepuko huko mke ameishi kwa shida kwenye hiyo ndoa sumu imenda hadi kwa watoto ndo matokeo yake wakikua wanamtenga baba.
Ndo kulipiza kisasi hivo?? Umegraduate bado unawaza kumkomesha baba ako mzazi hopeless children, wanajua mangapi kawakingia.......hamna sababu tosha ya kususa mzazi wako what so ever case.
 
Mmm kuna mchina aliniambia uko kwao kumsomesha Mtoto mnaingia kabisa mkataba kua atakutunza uzeeni kumbe kwetu vice vesa [emoji28][emoji28]
Watoto wanaharibiwa na mama zao.Huyo Mzee angewaachia deni Kama la Millioni 60 waje Walipe.Marehemu anadaiwa Mil 60 na Nyumba aliyokuwa anaishi alishauza Kwa ufupi aliuza Kila kitu alikuwa anaishi Kwa mkataba maalum na mnunuzi.
 
hizi stry zingine za kuunga unga ..mtu ijenge nyumba ys 300m ushindwe kuwa na bima kubwa kweli?[emoji706]

Kaka sio story kuna kipindi furan mtu unaweza kua kwenye Neema ya muda mfupi sana na ila Piga maokoto kwa kipind hicho baadae yakakata kabisa let mtu aliepo project za sgr sasa ama mwl Nyerere dam kule project ikiisha inaweza usipate tena dili la nje ya mshahara...... kwa iyo ni kawaida tu
 
Mmh bima kubwa unakupa usafiri na kukununulia chakula we vip? Nyumba ya 300m mbona kawaida plot yake alipo iko stdategic hapa Dar tena usifikilie kwamba hapo alipo kajenga jana..........thamani ya nyumba ni kubwa 300k ni sawa.

Maisha hayapo ivo mkuu kuna kipind cha ukwasi na ukakasi....
 
Wengi wetu hatuelewi Kuwa ni wajibu wetu wazazi kutunza na kusomesha watoto lakini sio wajibu wa mtoto kutunza mzazi.Somesha huku na wewe ukiweka akiba Yako pamoja na miradi Yako ya kukupa mtindi wa kusogeza uzee.Huyo Mzee nyumba ya 300m inaonekana alikuwa vizuri kiuchumi ameshindwaje kuweka mazingira ya watoto Kuja kukopa kwake hata kama Wana kazi zao?.
Angeuza ajenge frem,au aipangishe apate mapato ya kila mwezi
 
Wengi wetu hatuelewi Kuwa ni wajibu wetu wazazi kutunza na kusomesha watoto lakini sio wajibu wa mtoto kutunza mzazi.Somesha huku na wewe ukiweka akiba Yako pamoja na miradi Yako ya kukupa mtindi wa kusogeza uzee.Huyo Mzee nyumba ya 300m inaonekana alikuwa vizuri kiuchumi ameshindwaje kuweka mazingira ya watoto Kuja kukopa kwake hata kama Wana kazi zao?.
Inaweza ikawa ni thamani ya eneo na sio thamani ya nyumba.
Mfano aliijenga mwaka 1980 Ilala,magomeni,kinondoni au sinza Kwa Sasa lazima ifike thamani hio.
 
Back
Top Bottom