Wanaume jiandaeni kupokea maisha baada ya kustaafu

Wanaume jiandaeni kupokea maisha baada ya kustaafu

kama hii taarifa ni ya ukweli basi shida ipo, nadhani tatizo ni kwenye hiyo familia ilai mimi ni mstaafu unachosema ni sawa kabisa ila kuna hela alikuwa anapata kila mwisho wa mwezi alitumiaje maana hana tegemezi ? pia ana bima ya afya
Mkuu huyu mzee nimejitahidi kuchunguza kipato chake ni kweli kila mwezi anapokea 470k kama pession ila hiyo pesa haimtoshi kabisa kumtain maisha yake, life style yake na sehemu aliko jenga ni very expensive, na pia ana chronical disease ambao anamlazimisha kula special food, hawezi kutoboa na 470k kwa mwezi pia ana na vimkopo vidogo vidogo kwa saccos.
 
hizi stry zingine za kuunga unga ..mtu ijenge nyumba ys 300m ushindwe kuwa na bima kubwa kweli?[emoji706]
Mmh bima kubwa inakupa usafiri na kukununulia chakula we vip? Nyumba ya 300m mbona kawaida plot yake alipo iko strategic hapa Dar tena usifikilie kwamba hapo alipo kajenga jana..........thamani ya nyumba ni kubwa 300k ni sawa.
 
Mkuu huyu mzee nimejitahidi kuchunguza kipato chake ni kweli kila mwezi anapokea 470k kama pession ila hiyo pesa haimtoshi kabisa kumtain maisha yake, life style yake na sehemu aliko jenga ni very expensive, na pia ana chronical disease ambao anamlazimisha kula spexial food, hawezi kutomboa na 470k kwa mwezi pia ana na vi loan vidogo vidogo kwa saccos.


Huyo Anaoneka yupo broke mentally na sio financially . atafute mentor mzuri atakaa sawa.
 
Sisitizeni elimu kwa mwanaume kujiwekea akiba uzeeni taabu, mi marafiki wangu wote nawaambiaga kila siku kijiwekea akiba, maana tunaimbaga nani kama mama huku baba ndio kafanya kila kitu.nikwa mdogo teenager kuna rafiki yangu alikuwa anaitwa kwa tafsiri kuwa uyaone, hilo neno hunifikirishaga sana kuhusu wanawake pita nao mbali wakaribie ukiwa na haja tu, hata kama umeoa usijisahau
Kwanza wanaume hatujaumbwa kufuata mkumbo
 
Sisitizeni elimu kwa mwanaume kujiwekea akiba uzeeni taabu, mi marafiki wangu wote nawaambiaga kila siku kijiwekea akiba, maana tunaimbaga nani kama mama huku baba ndio kafanya kila kitu.nikwa mdogo teenager kuna rafiki yangu alikuwa anaitwa kwa tafsiri kuwa uyaone, hilo neno hunifikirishaga sana kuhusu wanawake pita nao mbali wakaribie ukiwa na haja tu, hata kama umeoa usijisahau
Kwanza wanaume hatujaumbwa kufuata mkumbo
Yaani mimi nikisoma chapisho hapa JF nikiona tu muandishi hajui kutofautisha herufi.
Mari na mali huwa siendelee kusoma.
Sijui walisoma wapi?
 
Mm Nafikiri after kustaafu watoto walitakiwa kuweka dada/kaka wa kazi km wao hawapo yeye ndio angeweza wasaidia,they take it from kampuni za usafi and sio mtaani.
Kingine watoto wanatakiwa kua na account ya wazee kila mwezi wanaweka kiasi Kwa makubaliano ya wao wenyewe kulingana na uwezo wa kl mmoja.
Hii hata km wazazi walikula bata ujana wao as long as mmesomeshwa/wanakipato they handle those immediately stuff themselves mpk nyie mkija
 
Mkuu huyu mzee nimejitahidi kuchunguza kipato chake ni kweli kila mwezi anapokea 470k kama pession ila hiyo pesa haimtoshi kabisa kumtain maisha yake, life style yake na sehemu aliko jenga ni very expensive, na pia ana chronical disease ambao anamlazimisha kula spexial food, hawezi kutomboa na 470k kwa mwezi pia ana na vi loan vidogo vidogo
inaonekana alikuwa kada ya kati na maisha ya kuigiza yani wakati yupo kazini hela za kupiga zilikuwa nyingi tu nna ndizo alizomzoesha wife na watoto. Alipostaafu alilazimika ku maintain maisha ya kuigiza wakati hela hamna. watoto hawalewi. ni kupe mfano wangu mimi nilipopat watoto wawili mabinti kila siku chai ya maziwa siku moja dada wa kazi alikuwa anakunywa chai ya rangi akanz kushangaa ankunywa kitu gani Kwake uyo watoto wanajjeng fikra kwamba mzee ndio kavuruga mambo na watu nye hela ndefu kuonja onja nj kawida sana hatimae watoto wanajua kupitia mama yoa NDIO unatengwa sasa.

hata mimi napata 406zinatosha san kula na kulipia dish cnn,sasa MIMi sina tatzo la lifestyle nimehamia shamba na ninalima mwenywe na jembe na avibarua akati mwingine. Huyo alikwama sababu maisha ya kuigiza.
Hkwez hta kungua bashara anaogopa jamii itamshangaa kibosile hna kitu.Hivyo kichwa cha mada yako ungeongez na waache maisha k
uigiza.
 
inaonekana alikuwa kada ya kati na maisha ya kuigiza yani wakati yupo kazini hela za kupiga zilikuwa nyingi tu nna ndizo alizomzoesha wife na watoto. Alipostaafu alilazimika ku maintain maisha ya kuigiza wakati hela hamna. watoto hawalewi. ni kupe mfano wangu mimi nilipopat watoto wawili mabinti kila siku chai ya maziwa siku moja dada wa kazi alikuwa anakunywa chai ya rangi akanz kushangaa ankunywa kitu gani Kwake uyo watoto wanajjeng fikra kwamba mzee ndio kavuruga mambo na watu nye hela ndefu kuonja onja nj kawida sana hatimae watoto wanajua kupitia mama yoa NDIO unatengwa sasa.

hata mimi napata 406zinatosha san kula na kulipia dish cnn,sasa MIMi sina tatzo la lifestyle nimehamia shamba na ninalima mwenywe na jembe na avibarua akati mwingine. Huyo alikwama sababu maisha ya kuigiza.
Hkwez hta kungua bashara anaogopa jamii itamshangaa kibosile hna kitu.Hivyo kichwa cha mada yako ungeongez na waache maisha k
uigiza.
Nimependa jinsi ulivya badilika nakukubaliana na hali halisi baada ya kustaafu, wengi wa kistaafu akiwa meneja anataka aendelee na lifestyle hiyo hiyo, ndo mathara hayo......kwanini huyu jamaa anataka kuendelea kuishi kwenye kiwanja ambacho ni karibu na mbezi beach wakati lifestyle imesha badilika tayari.
 
Mzee alikua meneja wa tasisi kubwa fulani nxhini alipenda kuishi first class life, ila watoto wake ndo wamemsaliti.......sisi katika Dini yetu ni jukumu la mtoto kuntuza mzazi wake.

Mkuu watoto kujisahau ni kawaida ila watoto wote yani hata moja asikukumbuke wakati wewe ndio umewafikisha hapo. Kuna story ambayo hukuambiwa kwa hiyo usiweke conclusion maana ugomvi wa familia za kiswahili usiuingilie

Kwa experience yangu, Kuna namna wazazi wa kiume kwa zamani, walikuwa wanafanya makosa waziwazi na kujitenga na familia kiasi cha kukosa bond na watoto wao kwa kuamini watoto hawatoyashikilia dhidi yao. Sasa wanapostaafu, wale workmates na marafiki aliokuwa anawapa muda zaidi wanapotea, ghafla wanachobakiza ni watoto ambao nao hawakujenga bond nao. Hivyo, anaanza kuforce kuingia kwenye mfumo wa watoto wao ambao hakuuweka, na kinachoendelea ni majuto na lawama

Ndugu zangu, tule sana bata na kuinjoi life ila tusidhani ukishawalisha na kuwalipia ada imetosha. Toa muda kutengeneza bond na watoto hata kama ni kwa nadra 🙏🏽
 
Back
Top Bottom