desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,287
- 5,462
Sa kama anakulisha utapata wapi ujasiri wa kumdundaNina miaka 39 ya ndoa nilishakuwa mkongwe wa changamoto za ndoa Ila so kumpiga mwanamke
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Sa kama anakulisha utapata wapi ujasiri wa kumdundaNina miaka 39 ya ndoa nilishakuwa mkongwe wa changamoto za ndoa Ila so kumpiga mwanamke
Yaani ni kupiga tu, hiyo ndio dawa, piga nusu ya kufa ndio akili ikawe sawa, ujinga huo!Mwanamke anijibu hivyo? bora waseme sina akili ila kichapo atakioga
Daah natamani ingekuwa kwelihawa viumbe silaha yao namba moja ni kubwabwaja.
ukiishaona anambwambwaja,shime.usithubutu kumgusa,kama unaweza ondoka eneo hilo ni vyema.
kanywe,kama una demu kaoshe rungu,huwezi kashinde hata kijiweni na wana.
kwa kutofanya hivyo utamgusa tu,kama kafundwa basi una bahati atanyamaza.kama hajafundwa lazima avimbe na kuanza kirusha matusi makubwa zaidi,nawewe utaona ni bora umzime ngebe,badala yake utamzima mazima au kumjeruhi vibaya sana kisha utakwenda jela,ndio bro utakwenda jela.
ukiona mwanamke mjuaji sana,wewe muonyeshe kwamba hujali wala nini.
Ukitaka kusiwe na shida ndani ya nyumba, hakikisha unasimamia nafasi yako kama mke, tumia ulimi wako vizuri, majibu ya hovyo yenye kukera yasiwe sehemu ya mazungumzó yako, kuwa mtu wa kupenda suluhu kuliko malumbano na kujikweza, tofauti na hapo ni wanaume wachache watavumilia ujinga.Sasa kwanini upige makofi?
Alafu ukimwangalia hata kwenye kiganja hajai eeeh Mungu haya majaribuunamuambia ntakupiga, afu ye anakujibu "utanipiga au tutapigana"?
Kila mtu asimame kwenye nafasi yake.Ukitaka kusiwe na shida ndani ya nyumba, hakikisha unasimamia nafasi yako kama mke, tumia ulimi wako vizuri, majibu ya hovyo yenye kukera yasiwe sehemu ya mazungumzó yako, kuwa mtu wa kupenda suluhu kuliko malumbano na kujikweza, tofauti na hapo ni wanaume wachache watavumilia ujinga.
Na siku ukienda polisi nitaomba nilale hata wiki moja huko, ili nikitoka tusionane, uwe umeshaondoka.
Daaah tena ulivo bonge ntakupiga mbupu balaaMie napenda mwanaume anizidi akili....yaan kila kitu nikimpasia akisolve....yaan hapo ntakaa! Mwanaume mkorofi mie tutalazana ndani maana na mm mtata balaa,hao playboy yes wazuri wanakata KIU
unalala mbele mapema!Kila mtu asimame kwenye nafasi yake.
Mwanamke asimamie nafasi yake kumtii na kumuheshimu mume na mumewe ampende mkewe kama Kristo alivyolipenda kanisa.
Siyo mke tu pekeyake ndiye asimamie nafasi yake halafu mumewe yeye haangaiki kukaa kwenye mstari,
Mimi najijua kuongea siwezi,siwezi fikia hatua ya kumkosea mtu hadi akanipiga..labda aamue tu yeye kunipiga.
Na akijichanganya kunipiga nampeleka ndani.
Hivi unadhani muda huo nakupeleka kwa wajeda,unadhani nitabaki kwako?
Nabakije kwenye nyumba ya bondia iliyogeuzwa uwanja wa ngumi?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
tunakuwaga tukorofi hutoo!Alafu ukimwangalia hata kwenye kiganja hajai eeeh Mungu haya majaribu
Nani kakuharibu akili lakini? Nae akikukosea unampiga?Hivi mkuu unafahamu midomo yetu wanawake ilivo na maneno ya kukera sometimes wewe? Si vizuri kupigana ila sometimes inaboa pale unamwambia mtu juu ya jambo fulani na hasikii afu ana kimdomoo , inaleta hasira na vile wanaume huwa si waongeaji sana, anakuvumilia ila likimfika kooni ni lazima ule makonzi japo kidogo kurestore akili.
NB: wanaume na nyie msipige sana hadi kuumizana na kuuwana hizo hasira gani bana
Huku mtaani wanaopigwa ni wanaume wengine mpaka.wanakimbia nyumbahili swala linajadilika jf ila mtaani hali ni tofauti kabisa.
kuna mwingine alienda mbali alithubutu kusema mke wake akizingua hua hampigi, humfuata na kuanza kumpiga mabusu mpaka mke anaomba msamaha
Behave mkuu..pls n plsDaaah tena ulivo bonge ntakupiga mbupu balaa
Ebu njoo pm tuongee vzr bonge wangu
Kwelikumpa kitasa mwanamke ni kama kujiua tu,hupangi! anajikuta tu kala kibao. sikuwahi kufikiria,ila siku moja alinikera mnooo akala kibao cha mdomo
Duu mdomo unao chonga ukala banzi sipati pic alizimikaje utazani tanesco wanavyobeba umeme wao!kumpa kitasa mwanamke ni kama kujiua tu,hupangi! anajikuta tu kala kibao. sikuwahi kufikiria,ila siku moja alinikera mnooo akala kibao cha mdomo
Sasa mkuu nimekuelewa moyo umekudondokea niache kusemwa kweli??Behave mkuu..pls n pls
Jiashue hapa unitaftie ban!Sasa mkuu nimekuelewa moyo umekudondokea niache kusemwa kweli??
Hapana mi nakuambia tuu
Sasa Mimi nakupenda siwez kufa na kitu rohon
Ondoa shaka kabsaa kuhusu Mimi ku behave vzr
Najiheshimu sana ila nakupenda Sana
We njoo pm tuongee vzr bhana
Acha na hayo mambo bonge wanguJiashue hapa unitaftie ban!