Mwisho wa siku haijawahi kutokea na haijatokea hadi sasa kujulikana ni kipi hasa Ke anachohitaji katika mahusiano.
1. CHAKULA; Analishwa chochote chakula bora LAKINI Muuza chipsi akikupatia bure chipsi mayai ya kuku mataira anamtunuku papuchi.
2. GARI; Anamilikishwa Prado Land Cruiser au hata V8(in Pole Pole voice) LAKINI Muuza mafuta sheli akimuwezesha ofa ya mafuta ya 10,000/= anagawa kitumbua.
3. MALAZI; Analala kwenye jengo zuri tena la kifahari lakini siku akienda kwa Me mwenye jengo la kawaida au sawa na lile au jingine anagawa sadaka rawe kipochi manyoya.
4. HANDSOME BOY; Akishaolewa naye atadai hayuko vizuri kitandani so mkata nyasi au mfuga kuku/house maid atazawadiwa mbususu.
5. ME MFANYAKAZI, MFANYABIASHA au TAJIRI; Akishaolewa naye atlalamika tena kuwa yuko bize na shughuli zake kiasi hapati muda wa kusikilizwa, kujaliwa, kutaminiwa wala kupetipetiwa kama mtoto mdogo, MUHUNI ASIYEELEWEKA atakuwa akijisevia tunda kimasihara.
6; ME MPOLE; Akishaolewa naye atamkosoa kuwa amezidi upole kama zombi ME MKALI atakuwa anakula pale kati bila kipimo kama mchepuko.
7. ME MKALI; Akishaolewa naye atabebeshwa lawama chungunzima kuwa ni MKATILI, Wazee wa fursa watakuwa wanalamba asali kila akikwaruzana na ME MKALI kijidanganya anamkomoa kumbe anajikomoa mwenyewe.
8. ME MCHESHI/MWENYE UTANI UTANI; Akishaolewa naye akamzoea ataanza kumchukulia sawa na SHOSTI MWENZIYE, hapo Wazee wa kiminyio watakuwa wanatafuna kila siku kipapatio.
9. ME MCHA MUNGU; Akishaanza naye maisha ya ndoa ataanza kulalamika anakosa uhuru wa kujichanganya na mambo ya kidunia(kusikiliza taarabu, kucheza baikoko, kuangalia Tamthilia, mitandao ya kijinga kama BADOO, INSTAGRAM & FACEBOOK), hapo atatoa kisusio kwa ME WA KIMATAIFA vibaya sana.
KE NDIYE KIUMBE PEKEE KISICHORIDHIKA NA KISICHOJUA KINATAKA NINI NDIYOMAANA HUJIWEKEA MAWIGI, MAT**O, MAZIWA HATA K FEKI ILI AMVUTIE ME.
NB: Mawazo yangu siyo sheria.
Sent from my CPH2185 using
JamiiForums mobile app