Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

DR VRM
Mimi mwanamke akijipaka mkorogo Yan akinigusa tu najiskia kukosa nguvu jumla... Kanakwamba nimeona mtu kapata ajali ya ghafla..

So hata hotelini akinisave mdada alojikoboa nslipia natembea.
Uko sahihi sana, ila sisi tukilewa , huyo wa mkorogo anakuwa recategoraised to an amazing chotara wa kizungu/kiarabu
 
Yaani hawa viumbe tukiwaita vyombo vya starehe wanasema tunawatukana

Wakati wao wenyewe wanasexualize mbele za wanaume kwa mikato yao ya kimitego ili tunase

Ok tunanasa tunawatongoza tunawalomba lengo lao linakuwa limetimia. Na atafanya hivyo kwa wanaume zaidi ya mmoja

Sasa sijui huwa wanapta wapi nguvu ya kukataa kuwa wao sio vyombo vya starehe
.exactly, hawa ni viburudisho, kundi moja na pombe, bangi, mirungi n.k
 
Achana na ya mwamposa unaifahamu pisi ya ambwene mwasongwe?aiseee kumbe na watumishi wanapenda vinono🤗🤗🤗🤗🤗

Pisi ya kwanza ya mbwene ilimpiga Chini kisa mkwanja ... Jama ni mstaarabu Sana yule... Japo nyodo za hapa na pale hazikosi Ila Jama ana deserve Ile pisi as alihenga hapo kabla hajajipata.
 
Tusipojiremba mnatuona tupo rafu mnaenda mnatafuta wanaojiremba, hamueleweki mnataka nini bana🤔
Akili zenu hazina akili,

Mnachnganya kati ya kuwa msafi au smart na kujivalisha manywele ya bandia pamoja na makeup.

Hakuna mwanaume anapenda huu ujinga hapa duniani, tunawavumilia tu kwasababu tunataka kale kananiii.

Nikutonye tu; ukiona umejiremba saaana halafu mwanaume akakusifia, ujue anakupanga na usimwamimi.

Mwanaume kwa mwanamke anapendelea (anavutiwa) na kusifia either makalio au kifua au sura hayo mengine mnajichoshaga tu.
 
Pisi ya kwanza ya mbwene ilimpiga Chini kisa mkwanja ... Jama ni mstaarabu Sana yule... Japo nyodo za hapa na pale hazikosi Ila Jama ana deserve Ile pisi as alihenga hapo kabla hajajipata.
Kale ka kiuno nyingu alikofunganga nako ndoa ndo kalimbwaga au mwingine?
 
Nipo kusoma comments tyuuh hapa, nikiwa na 🍿zangu.
Woiiiih 😂😂😂😂😂
Ndugu yangu somo hili ulifanyie Kazi, unyoe uweke Ka way kamoja Kama hapo profile, saafi kabisa.

Abari ya kuwa na ma wigs sijui za uturuki mara Brazilians hairs, bei ukiuliza ni laki nne hapana kabisa
 
Wanaume wanafki sana..!!
Ukienda kuchunguza wake zao ndo utaona walivyo mapampula..!!

Wengine wake zao wameungua na cream mpk kwenye mipodido, sura nyekundu km Matraco ya nyani..
Kwakweli Sisi huwa tunawavumilia tuu,

Ila kutoka moyoni hatupendi kabisaaa, tunapenda natural...Kama MH Queen sendega

Kuna wadada wengi wavingunguti na mbagala wameungua USO hivi kuungua USO kunatokana na lokeshen au??
 
Afu mbona mie ni mdau wa Low cut kitambo sanaaa.
Huwa naweka way had 3, afu unyama sanaa.
😂😂😂😂
Shikilia apo apo...

Kwakweli kuna wale wadada wananyoa ki afro flan hivi Wana kisogo flan hivi na Ka way kamoja... Wanavutia saana, wawe maji ya kunde wasiwe na komwe
 
Shikilia apo apo...

Kwakweli kuna wale wadada wananyoa ki afro flan hivi Wana kisogo flan hivi na Ka way kamoja... Wanavutia saana, wawe maji ya kunde wasiwe na komwe
Mzee wa hall V.
Una visa weyee, sasa komwe inakujaje tena?
😂😂😂😂😂
 
Screenshot_20250420-074218.jpg
 
Back
Top Bottom