Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Ukipiga kvant au nyagi wanapendeza kuzidi
Na zile taa za rangi rangi za usiku zikimmulika unasema hapa nimepata mwarabu au mpemba, balaa linakuja asubuhi ukimwona laivu na pombe zimeshakata

20250417_184831.jpg
 
Umepiga mule mule. Kwakweli sijui ni ushamba wangu. Basi nikimuona mwanamke amejiremba kupitiliza huwa namuogopa na hamu inaisha kabisa. Unakuta kajikoroga mweupe pee! Kapaka yale ya mdomoni, pini puani, nyusi za kubandika, kucha ndefu za kubandika (hapo kwenye kucha ndio sitaki kuziona kabisa)
..lakini "V"inakuwa natural kama zingine
 
Hicho kikao kimefanyika wapi..unaleta.mrejesho.hapa
Kikao kimemaliziki Hivi punde Hapa Burkina Faso kwa ukanda wa Africa na Hayo ndio makubaliano Yetu.
Sambamba na Hilo tumekubaliana kuhudhuria Kikao kitakachofanyika Huku Switzerland mapema Mwezi ujao.

Na mwandishi Wetu - Africa
 
..lakini "V"nakuwa natural kama zingine
Hivi na V si inakuwa nyekundu imeiva au inabaki natural? mana sijawahi kukutana nao hao waliojipodoa na kujiremba kupitiliza mana huwa nawaogopa!
 
Wanotumia mkorogo (cocktail ya chemicals) wakivua nguo wanatisha sana, ngozi inakuwa kama ya chui au kenge


Ah. Ngoja nitoke nikachekee nje hapo.
🤣🤣🤣🙏🙏🙏
 
Dah 👏 nimepata point zote mazee.
Yan mgando wangu napitisha tyu Kwa skin, no heren no 👄, nywele natural TU Yan , Sina habari

Nitumie namba ya baba mkwe PM my dear. ♥️🙏♥️
 
Your hair and your nails just as phony as your smile
Fake eyelashes, you drew your eyebrows
It make a brother ask do you pride yourself?
Your makeup like a mask, tryna hide yourself
It seems on the outside, you thinkin' you the shit (uh-huh)
But it's a soul that's inside that you ain't even knew exist-J Cole.
 
..kama umemchukua bila kupata ganzi (pombe)

DR VRM
Mimi mwanamke akijipaka mkorogo Yan akinigusa tu najiskia kukosa nguvu jumla... Kanakwamba nimeona mtu kapata ajali ya ghafla..

So hata hotelini akinisave mdada alojikoboa nslipia natembea.
 
Back
Top Bottom