Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Sitaki gari kipenzi nataka jero tu ya daladala!
Usiku mwema!!!

Anabaha umefanyika Baraka Hadi kwa ex .. wewe ni wife material kabisa. 😁🙏🙏🙏😁

(Ex amepona)
 
KUna wale wanawake wanaopaka mikorogo wanatia kinyaa Sana na hata sio weupe wamekuwa wekundu hata kuwasogelea unaogopa!
 
Hii ishu nilikuwa najua ni mimi tu labda niko na ugonjwa wa kuchukia wanawake wanaojiremba sana.
Yaani nikionaga wamevaa yale Mawig huwa nachefukwa,halafu wenyewe utawaona wanarembuarembua macho wakidhani kwamba ndio wanatuvutia sana.
Huwa napenda mwanamke aliye natural yaani awe msafi tu na avae nguo za kawaida na sio avae vile viatu vyenye visigino virefu halafu awe amesuka kawaida tu au hata akinyoa tu bado anapendeza kama yuko natural.
 
KUna wale wanawake wanaopaka mikorogo wanatia kinyaa Sana na hata sio weupe wamekuwa wekundu hata kuwasogelea unaogopa!


Haupo peke ako ndugu. Yaan Mimi achana na kumgusa alojikonoa ... Yan hata hotelini mtu alojikoboa akinihudumia msos nashindwa kula. 🤣🤣🤣
 
Hii ishu nilikuwa najua ni mimi tu labda niko na ugonjwa wa kuchukia wanawake wanaojiremba sana.
Yaani nikionaga wamevaa yale Mawig huwa nachefukwa,halafu wenyewe utawaona wanarembuarembua macho wakidhani kwamba ndio wanatuvutia sana.
Huwa napenda mwanamke aliye natural yaani awe msafi tu na avae nguo za kawaida na sio avae vile viatu vyenye visigino virefu halafu awe amesuka kawaida tu au hata akinyoa tu bado anapendeza kama yuko natural.


Mimi Sio muhuni. Ila niseme tu kweli sijawah vutiwa ki hisia hata sikumoja na mvaa mawigi na hivyo katika wachache hao hao nlotoka nao hakuna mvaa mawigi hata mmoja. And mfano wa karib wawili Kati yao mkwanja wanao haswaa.
 
Haupo peke ako ndugu. Yaan Mimi achana na kumgusa alojikonoa ... Yan hata hotelini mtu alojikoboa akinihudumia msos nashindwa kula. 🤣🤣🤣
Hata mimi mtu aliyejikoboa sana akileta chakula huwa sipendi aniongeleshe sana nataka aweke sahani mezani kisha apotee eneo hilo
 
Back
Top Bottom