Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.

Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....
Mimi simo,

Usitujumuishe kwe huo wendawazimu
 
Mnajipa umuhimu sana kwenye maisha ya watu, unafikiri kila anachofanya mwanamke ni kwa ajili ya macho yako, huo ni ulimbukeni, punguza!
Mnatafuta sana attention za wanaume mkashijipaka paka hayo matakataka yenu mnakuwa hamtulii kama ni ukumbini safari za kwenda chooni haziishi

Poleni sana wanaume wengi huwa wanaangalia hasa tako na wale waliojiremba simple kasura kake kaasili kanaonekana sio hiyo mikorokoro fekero
 
Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.
Acha tabia ya kuchunguliachungulia chumbani kwa mdogo wako wa kike.😎. Utakuja umbuka shauri lako.

Nahisi hata pochi lake unachungulia😂
 
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.

Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....
NAUNGA MKONO HOJA 🤝, Kwa ufupi waambie tunapenda zaidi vitu NATURALLY
 
..wanafanya promotional dermo😀
Yaani hawa viumbe tukiwaita vyombo vya starehe wanasema tunawatukana

Wakati wao wenyewe wanasexualize mbele za wanaume kwa mikato yao ya kimitego ili tunase

Ok tunanasa tunawatongoza tunawalomba lengo lao linakuwa limetimia. Na atafanya hivyo kwa wanaume zaidi ya mmoja

Sasa sijui huwa wanapta wapi nguvu ya kukataa kuwa wao sio vyombo vya starehe
 
Back
Top Bottom