Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Hatari sana, labda wengine wanaficha ukoka kichwani, lakini Mimi naona kama mwanamke atatunza vizuri nywele zake na ngozi yake anakuwa Bomba zaidi, wapo wanawake tunawaona wako vizuri na nywele zao na ngozi zao halisi. Shida inakuja kwenye matunzo ndo balaa hivyo ni ile funika twende ya chap chap, mara nyingine labda wengine hawajiamini nk.
 
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.

Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....
Mimi nachukia pia wanao jikoleza na perfume hadi harufu yake inakera
 
Yaani hawa viumbe tukiwaita vyombo vya starehe wanasema tunawatukana

Wakati wao wenyewe wanasexualize mbele za wanaume kwa mikato yao ya kimitego ili tunase

Ok tunanasa tunawatongoza tunawalomba lengo lao linakuwa limetimia. Na atafanya hivyo kwa wanaume zaidi ya mmoja

Sasa sijui huwa wanapta wapi nguvu ya kukataa kuwa wao sio vyombo vya starehe
Mind na Vagina zao ni nonselective , the end justifies the means😡
 
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.

Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....
Mimi unitoe kabisa kwa wanaopenda msuko wa twende kilioni. Bora hata anyoe nywele ziwe ndefu wastani kuliko hiyo twende kilioni.
 
Hatari sana, labda wengine wanaficha ukoka kichwani, lakini Mimi naona kama mwanamke atatunza vizuri nywele zake na ngozi yake anakuwa Bomba zaidi, wapo wanawake tunawaona wako vizuri na nywele zao na ngozi zao halisi. Shida inakuja kwenye matunzo ndo balaa hivyo ni ile funika twende ya chap chap, mara nyingine labda wengine hawajiamini nk.
Napenda wanawake wa dhehebu la sabato, wako very natural by many ways, ni wazuri sana, kanisa lao lina discourage kuchafua hekalu la Mungu (mwili ni hekalu la Mungu, hawaruhusu kulifanyia alterations)
 
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.

Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....
Una tabu wewe ulienda kufanya nin chumba cha dada ako
 
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.

Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....
Umepiga mule mule. Kwakweli sijui ni ushamba wangu. Basi nikimuona mwanamke amejiremba kupitiliza huwa namuogopa na hamu inaisha kabisa. Unakuta kajikoroga mweupe pee! Kapaka yale ya mdomoni, pini puani, nyusi za kubandika, kucha ndefu za kubandika (hapo kwenye kucha ndio sitaki kuziona kabisa)
 
Back
Top Bottom